Mel James
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 356
- 290
Habari zenu wakuu!!
Mara nyingi nimekuwa nikiota ndoto moja mda mrefu sana na ndoto inayonitesa sana. Naweza kukaa week mbil au moja ikajurudia ila haipiti mwezi sijaota. Nimekuwa nikiota na kula bablishi kubwa sana mdomoni ambayo inanitesa sana kuitoa hadi ndoto inaisha iyo bablishi inanata sana kwenye meno na navyoitoa haishi mdomoni hadi nashtuka na meno yanauma sana. Mda mwingne navyoangaika kuitoa nahisi nashindwa kupumua. Kwa mtu anayejua ndoto naomba msaada tafadhali niweze kuepukana na hili.
Mara nyingi nimekuwa nikiota ndoto moja mda mrefu sana na ndoto inayonitesa sana. Naweza kukaa week mbil au moja ikajurudia ila haipiti mwezi sijaota. Nimekuwa nikiota na kula bablishi kubwa sana mdomoni ambayo inanitesa sana kuitoa hadi ndoto inaisha iyo bablishi inanata sana kwenye meno na navyoitoa haishi mdomoni hadi nashtuka na meno yanauma sana. Mda mwingne navyoangaika kuitoa nahisi nashindwa kupumua. Kwa mtu anayejua ndoto naomba msaada tafadhali niweze kuepukana na hili.