Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 200
Habarini za Usiku huu wana JF.
Naombeni msaada au ushauri kwa jambo hili.
Nimetumia parccel kutoka nje ya nchi (smartphone 2) kwa EMS, risiti inaonyesha siimu zina gharama ya usd 80 na jamaaa amelipia insurance.
baada ya mzigo kufika bongo posta wakaaniambia niende TRA ili wafanyee hesabu ya kodi ya mzigo, nikaenda TRA nikiwa na risiti ya mzigo inayoonyesha kuna simu 2 na gharama yake ni usd 80. na zimetumwa kama gift.
Sasa TRA wanasema hiyo sio bei halisi ya hizo simu kwa hiyo mahesabu ya kodi wananipigia kwa bei ya simu wanavyojua wao kuwa hizo simu zinaagharimu kiasi gani kwa hapa bongo.
Simu zenyewe ni samsung LT4G, wameniambia nilipe Tsh 190,000/= kwa kila simu. Baada ya kuongea nao na kuwaambia sina hiyo hela wakapunguza mpaka laki moja kwa kila simu. nikawaambia tena sina hiyo hela
Na nimewaambia kuwa ikishindikana bora mzigo urudishwe kwa mtumaji maadam una insurance.
Mimi binafsi nimejiuliza maswali 2
1. kwanini wang'ang'anie bei zao za kitanzania na wakati mzigo umeandikwa thamani yake kwenye risiti na watu wa insurance wamekubai kupokea dhamana ya mzigo huo kwa kiasi cha 500,000
2. Hawajaniweka wazi formula inayotumika kucalculate hiyo kodi ppamoja na VAT
Naombeni msaada wa kisheria na ushauri katika hili tafadhali
Naombeni msaada au ushauri kwa jambo hili.
Nimetumia parccel kutoka nje ya nchi (smartphone 2) kwa EMS, risiti inaonyesha siimu zina gharama ya usd 80 na jamaaa amelipia insurance.
baada ya mzigo kufika bongo posta wakaaniambia niende TRA ili wafanyee hesabu ya kodi ya mzigo, nikaenda TRA nikiwa na risiti ya mzigo inayoonyesha kuna simu 2 na gharama yake ni usd 80. na zimetumwa kama gift.
Sasa TRA wanasema hiyo sio bei halisi ya hizo simu kwa hiyo mahesabu ya kodi wananipigia kwa bei ya simu wanavyojua wao kuwa hizo simu zinaagharimu kiasi gani kwa hapa bongo.
Simu zenyewe ni samsung LT4G, wameniambia nilipe Tsh 190,000/= kwa kila simu. Baada ya kuongea nao na kuwaambia sina hiyo hela wakapunguza mpaka laki moja kwa kila simu. nikawaambia tena sina hiyo hela
Na nimewaambia kuwa ikishindikana bora mzigo urudishwe kwa mtumaji maadam una insurance.
Mimi binafsi nimejiuliza maswali 2
1. kwanini wang'ang'anie bei zao za kitanzania na wakati mzigo umeandikwa thamani yake kwenye risiti na watu wa insurance wamekubai kupokea dhamana ya mzigo huo kwa kiasi cha 500,000
2. Hawajaniweka wazi formula inayotumika kucalculate hiyo kodi ppamoja na VAT
Naombeni msaada wa kisheria na ushauri katika hili tafadhali