Nilinunua shamba mwaka 2014 tuliandikishana ofisi ya kijiji mbele ya mtendaji na Mwenyekiti was kijiji Mwanambaya mkuranga ila mwaka huu naambiwa shamba sio langu na yule alieniuzia kwenda ofisi ya kijiji nakutana na Mwenyekiti akatukutanisha na muhusika Ila akaniambia aniandikie karatasi nisaini nikubali kubadilishiwa eneo nikakataa kusain kabla sijaona eneo nikaomba kuonana na mtendaji bahati nzuri mtendajiniliemkuta no mwingine siyo yule aliekuwepo kipindi mile akamwambia muhusika I'll eneo amwonyeahe yeye kwanza aridhike kuwa Galina tatizo ndipo ataniita kuandikishana ila yule muhusika hakuonekana tena nilipowasiliana nae akaniambia tukutane ofisi ya kijiji vikindu nikamuhuuliza inakuaje akaniambia huko anaenda kuniandikishia atanipa eneo language link mi nikaenda ila ilibidi nimkamate kwakuwa nilishaona dalili za kutapeliwa pale ofisi ya vikindu nilimkuta mtendaji was kipindi tuna and I Kishinev hati ya kwanza. Baada ya kumpeleka police ndio nagundua hats majina waliyotumia kwenye ile hati sio yao halisi muhuzaji pamoja na shaidi take ambaye ndie mjumbe alieniaminisha shamba in LA mtuhumiwa! Mwenyekiti na mtendaji waliitwa police wamekubali kuandika ile hati ila sijajua wamejitetea vipi? Mpelelezi was kesi Yangu aliniambia kesi ameshaipeleka mahakamani na imeshasomwa tar 9 mi sikuudhuria namuhuliza tar nyingine ya kesi akaniambia atafatilia aniambie ingawaje Mimi sins ulazima was kwenda mpaka Sikh ya ushaidi kwasababu kesi IPO mahakama ya wilaya, apo ndipo nachanganyikiwa hivi in kweli? He ntapata haki Yangu kweli na je naitaji niwashtaki mtendaji na Mwenyekiti kwa kunipa hati feki nafanya process zipi lengo language nipate haki Yangu tu.