Naombeni msaada wa Kisheria

Naombeni msaada wa Kisheria

AJ 1977

New Member
Joined
Feb 21, 2018
Posts
3
Reaction score
0
Habari wakuu

Nahitaji ushauri wa kisheria yupo mzee mwenye umri miaka. 80 alitokea hali duni kifedha hadi kufanikiwa sasa miaka 10 ilipita alikuwa mkorofi, fujo tupu mama mzazi alimfukuza

Baada yakufariki mama alirudi kwa mzee, ,huko akiwa kipenzi cha mzee akapokelewa na akasema baba mimi nikusaidie hapo dukani alipoingia baada ya kuwa mwenyeji akawa anagawa kazi kuingiza kipato mfukoni

Miaka 4 iliopita mzee alipata stroke na kuwa sio hali yakuendelea kazi. Siku moja kulitokea ugomvi katika mzee kupinga akamtemea na kumpiga, familia ikaamua atoke nyumbani sasa.

Dukani hatoki na miaka 4 yote haumpi pesa mzee wala huduma ameambiwa atoke.na ndugu anaweka masharti apewe mtaji.

Sasa njia gani yakisheria itamtoa haraka bila yeye kuhamisha bidhaa ya mzee?

Nyaraka zote za umililiki ni za mzee, nipeni ushauri nimsaidie mzee Huyo.
 
Mimi nimekuelewa ingawa nakushauri urekebishe uandishi wako kwani itawawia vigumu sana watu kuelewa maana nyuzi ni nyingi na wasomaji wanataka uandike kiufasaha wasome kwa urahisi na waelewe kwa haraka

Vinginevyo huyo mzee ni nyie tu mnamuonea huruma. Kwa hiyo mpaka mtakapo amua wenyewe kutekeleza maazimio ya hivyo vikao vyenu basi atazidi kuwapasua kichwa
 
Mchangiaji wa kwanza amekushauri vizuri. Uandishi wako mbovu kama kuku anaparua chini. Ni wachache watakaoelewa. Vinginevyo huyo mzee mbona ni rahisi sana ksbb duka ni lenu. Shida kubwa iko kwenu mlimpatia mamlaka makubwa huyo mzee. Inavyoonekana,japo, huyo mzee kasaidia pia kulisimamia sana hilo duka na alipewa mamlaka makubwa. It means nyie watoto mko mbali na maswala ya home,hususani duka,kwa hiyo huyo mzee anajua maswala yote ya home mpaka duka kuliko nyie. Vinginevyo ni kweli mpeni malipo yake ndio aende,ksbb kasaidia sana kusimamia hapo na nyie mnajua,ila imekuja chuki nae ksbb mnataka kumtoa bila utaratibu. Ana haki nae
 
Nenda kwa wakili aliye karibu umsimulie, akuhoji vizuri, mwisho wa siku atajua njia nzuri ya kukushauri.
 
Back
Top Bottom