NURDIN.HAMIS
Member
- Mar 9, 2013
- 79
- 5
Hivi katika sheria za kazi kunakipengele kinasema uumpe mfanyakazi mkataba wa mwezi mmoja mmoja kila akimaliza tu unampa mwingine wa mwezi tena nizaidi ya mitano sasa utaratibu ni huo huo niliukuta na bado unaendelea huu utaratibu. Naombeni msaada tunakosa maslahi mengi kama nssf n.k.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums