Nina bibi yangu,shangaz take na baba.katika ujana wake alibahatika kupata mtoto mmoja wa kiume, mumewe alifariki,mtoto wake pia alifariki na kumuachia Mjukuu mmoja wakike ambae nae kwasasa ameolewa,,sasa shemeji zake wa bibi wanamdhurumu mashamba na kusema hana haki, viongozi wa kijiji nao wanachangia dhuruma,,hana wa kumsaidia ,mim ndie mwenye jukumu la kumsaidia bibi yangu,
Msaada tafadhari
Msaada tafadhari