Mr.Black
Member
- Jun 9, 2014
- 97
- 74
wana jamii forums.
Naombeni kusadiwa nataka kupanua wigo wa biashara zangu, hasa kwa upande wa Visiwani Zanzibar sasa nisadie nikitaka kwenda kuuza mazao kule hasa mpunga na maharage bei zao wanazo nunulia kule ni kiasi gani. Nitashukuru sana kupewa maelezo ya kina.
Naombeni kusadiwa nataka kupanua wigo wa biashara zangu, hasa kwa upande wa Visiwani Zanzibar sasa nisadie nikitaka kwenda kuuza mazao kule hasa mpunga na maharage bei zao wanazo nunulia kule ni kiasi gani. Nitashukuru sana kupewa maelezo ya kina.