Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
MKUU,Wakuu habar zenu, nipo kwenye harakat za mwisho za kufungua biashara ya chips. Tatizo nakosa location muda wa kutafuta location sina nabanwa sana na mambo ya kazi. Naomba msaada kwa mtu anaejua location nzuri kwamba niweka biashara naweza pata hata mia mbili tatu so mbaya
Location iwe Dar wakuu,
Ahsanteni.
MKUU,
IKIWA MUDA WA KUTAFUTA LOKESHENI TU HUNA,
UTAPATA MUDA WA KUIENDESHA AU KUISIMAMIA BIASHARA??
Tafuta sehemu ambayo ni karibu na chuo au hostel za wanachuo
Unaweza ukatembelea hayo maeneo ukafanye utafiti mwenyewe but hio ndio sehemu ambazo zinauza sana chips kwa hapa DarChuo kikifunga biashara nayo unafunga??
Unaweza ukatembelea hayo maeneo ukafanye utafiti mwenyewe but hio ndio sehemu ambazo zinauza sana chips kwa hapa Dar
Kuna vibanda kama vitano hapa hospital ya temeke karibu na lango kuu la kuingilia hospital yaani wateja hawakauki muda wote mtu nyomi iwe asubuhi, mchana au jioni
Nafikiri tafuta maeneo yenye mkusanyiko mkubwa wa watu.
Tafuta eneo mabibo mwisho fanya kuboresha eneo la kazi then chips anza kuchoma ..usisahau mrejesho
Ahsante tajiri
Njoo kibaha kuna location kibaoWakuu habar zenu, nipo kwenye harakat za mwisho za kufungua biashara ya chips. Tatizo nakosa location muda wa kutafuta location sina nabanwa sana na mambo ya kazi. Naomba msaada kwa mtu anaejua location nzuri kwamba niweka biashara naweza pata hata mia mbili tatu so mbaya
Location iwe Dar wakuu,
Ahsanteni.
Unaweza ukatembelea hayo maeneo ukafanye utafiti mwenyewe but hio ndio sehemu ambazo zinauza sana chips kwa hapa Dar
Njoo kibaha kuna location kibao