Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Mficha maradhi kifo humuumbua.
Naombeni mnisaidie nipone huu ugonjwa
Mimi ni bonge kiasi nina kg 96,niliambiwa niwe nakunywa maji mengi.tatizo likazidi,
Niimeambiwa nisinywe maji mengi ni mabaya kwa mwili wangu hata sielewi
Nikilala usiku asubuhi naamka miguu iko poa
Nikisimama simama cause kazi yangu inainvolve kusimama simama ndo kama hivo yaani
Inanikera kusema kweli
Mwenye dawa pls maana humu watu wengi na wataalamu wengi
Naombeni mnisaidie nipone huu ugonjwa
Mimi ni bonge kiasi nina kg 96,niliambiwa niwe nakunywa maji mengi.tatizo likazidi,
Niimeambiwa nisinywe maji mengi ni mabaya kwa mwili wangu hata sielewi
Nikilala usiku asubuhi naamka miguu iko poa
Nikisimama simama cause kazi yangu inainvolve kusimama simama ndo kama hivo yaani
Inanikera kusema kweli
Mwenye dawa pls maana humu watu wengi na wataalamu wengi