Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Fanya mazoezi na punguza kula vyakula kwa wingi, maji ni muhimu kunywa sanaMficha maradhi kifo humuumbua
Naombeni mnisaidie nipone huu ugonjwa
Mimi ni bonge kiasi nina kg 96,niliambiwa niwe nakunywa maji mengi.tatizo likazidi,nimeambiwa nisinywe maji mengi ni mabaya kwa mwili wangu hata sielewi
Nikilala usiku asubuhi naamka miguu iko poa
Nikisimama simama cause kazi yangu inainvolve kusimama simama ndo kama hivo yaani
Inanikera kusema kweli
Mwenye dawa pls maana humu watu wengi na wataalamu wengiView attachment 2024605View attachment 2024607View attachment 2024608
Acha kunitisha bnaUmepima maradhi ya figo
Uwiiii jamanikachek afya ya figo na main kwanza
Asante kwa ushauriFanya mazoezi aisee inavimba hivo maybe kwakua huitumikishi ipasavyo yaani mpaka pale inapobidi as you said kazi yako inahitaji kusimama, jitahidi kutembea kwa miguu bodaboda zinawaharibu sana mabinti wa siku hiz
You got beautiful legs though.[emoji3577]
Asante dearPole
Mimi najuaga mitishamba tu ambayo kwa huko dar hamna tena hata kuitumia unaweza kushindwa.Asante kwa ushauri
Hamna dawa???
Dawa ya kupungua ni diet na mazoezi! Utakuta unajishindilia machips mchana na usiku wewe ni machips tu utapungua vipi?Asante kwa ushauri
Hamna dawa???
Bomba ndo nini??Mimi najuaga mitishamba tu ambayo kwa huko dar hamna tena hata kuitumia unaweza kushindwa.
(Somebody nilimuelekeza kupiga bomba akaogopa[emoji28])
Btw zingatia kuitumikisha miguu yako
Chips nakula mara moja kwa mweziDawa ya kupungua ni diet na mazoezi! Utakuta unajishindilia machips mchana na usiku wewe ni machips tu utapungua vipi?
Nitumie hyo dawa pls nitalipa mkuuMimi najuaga mitishamba tu ambayo kwa huko dar hamna tena hata kuitumia unaweza kushindwa.
(Somebody nilimuelekeza kupiga bomba akaogopa[emoji28])
Btw zingatia kuitumikisha miguu yako
Kula matunda sana kuanzia sasa, piga tizi deile asubuhi na jioni acha uvivuChips nakula mara moja kwa mwezi
Mazoezi mmmh
Sawa mkuu nijaaanza maana duh
Hahaaa eti bomba ndio niniBomba ndo nini??
Yaani kutembea siwezi sasa nitembee niende wapi
Me maisha yangu ni home ,kazini
I don't trade lives mkuu kama kungekua na uwezekano ningekutumia kwa bure coc ni mm kwenda na kuchuma porini.Nitumie hyo dawa pls nitalipa mkuu