Hakunaga dawa ya kupunguza mwili, hyo ni utapeli tu, ata kama zipo dawa za kupunguza apetite ila kama anakula vyakula vyenye calories nyingi ni kaz bureIpo dawa ya kupunguza mwili elf10 tu ni ya asili matokeo ni chap within a week unaona changes..na imetengenezwa kwa vitu asili 100%....vitambi manyama uzembe ile ndo kiboko yake walengwa mnaohitaji mnione
Pole sana!Mficha maradhi kifo humuumbua.
Naombeni mnisaidie nipone huu ugonjwa
Mimi ni bonge kiasi nina kg 96,niliambiwa niwe nakunywa maji mengi.tatizo likazidi,
Niimeambiwa nisinywe maji mengi ni mabaya kwa mwili wangu hata sielewi
Nikilala usiku asubuhi naamka miguu iko poa
Nikisimama simama cause kazi yangu inainvolve kusimama simama ndo kama hivo yaani
Inanikera kusema kweli
Mwenye dawa pls maana humu watu wengi na wataalamu wengiView attachment 2024605View attachment 2024607View attachment 2024608
Unajua ugali na wali una calories kias gani mkuu.Hacha kula vyakula vyenue calories nyingi, usipende nyama, usile sana vyakula vya mafutamafuta, kula mchana ugali na maharage jion wali na kabichi au wali na mboga za majani, fanya hvyo mwezi moja, utazoea ukipita siku ya 21 na baadae mwili utapungua wenyewe,
Miguu kuvimba ni kwakuwa stress inayopata ni kubwa, na kilo 96 ni nyingi sana kwa mwanamke
Mkuu unafahamu mti unaitwa parasite Tree?? Sijui kwa kiswahili unaitwaje ila ni mti fulani ambao hua unaota juu ya miti mwingine then ule mti uliootewa kwa juu hua unakufa. Miti hii kwa makabila mengi Tz ni common katika Shughuli za kutambika mizimu wamasai pia huutumia kutambika.Nashukuru mkuu
Watu wanawadanganya sana wagonjwa, sasa anamshauri ale ugali na wali tena na anataka kupungua...Unajua ugali na wali una calories kias gani mkuu.
Picha?Hata yangu ni mizuri pia
Picha?Punguza uzito Mimi Kuna kipindi miguu ilikuwa inajaa nikapunguza uzito Sasa haivimbi
[emoji2772]Sawa mkuu.ila sina shida
Kuhusu sex ngoja nitafute mwanaume
Kapime hivyo vitu manake vina uhusiano mkubwa na kujaza maji miguuni na mikononi Kama sehem zenye low density!Uwiiii jamani
hapo kwenye sex sasa njia hiyo si itaota nyasi maana niliambiwa njia isiyotumika inaota nyasi🧐Sawa mkuu.ila sina shida
Kuhusu sex ngoja nitafute mwanaume
Fasting ni kiboko, sema wengi hawawezi. Mie pia ni shuhuda wa hili.Kama Ni kupunguza uzito fanya intermittent fasting.Ukiwa serious utatoka from hio 96 to 78 ndani ya miezi 3 tu.Ingia YouTube andika Dr.Jason Fang Intermittent fasting.Mimi Ni shuhuda wa hilo.
Unajua mkuu watu wengi wanataka waambiwe lugha laini laini,hawataki kuteseka/kujikaza.Ila kupungua mwili lazima usote,Kama ulivyo enjoy kula kula hovyo then lazima uenjoy hivyo hivyo msoto wa kupunguza huo mwili.Fasting ni kiboko, sema wengi hawawezi. Mie pia ni shuhuda wa hili.
Pana umbali gani kutoka home kwako na kazini, kama kuna umbali kiasi basi jaribu kwenda kazini kwa mguu, aisee gari au bodaboda zinatulemaza tunaleta mrundikano wa magonjwaSina dalili ya kidney disease bna,halafu asubuhi nikiamka niko normal
Hivi sex inasaidia??
Picha tenqPicha?
Pole unatatizo Kama langu,Mimi kuvimba kumezidi navimba miguu,mikono haya na usoMficha maradhi kifo humuumbua.
Naombeni mnisaidie nipone huu ugonjwa
Mimi ni bonge kiasi nina kg 96,niliambiwa niwe nakunywa maji mengi.tatizo likazidi,
Niimeambiwa nisinywe maji mengi ni mabaya kwa mwili wangu hata sielewi
Nikilala usiku asubuhi naamka miguu iko poa
Nikisimama simama cause kazi yangu inainvolve kusimama simama ndo kama hivo yaani
Inanikera kusema kweli
Mwenye dawa pls maana humu watu wengi na wataalamu wengiView attachment 2024605View attachment 2024607View attachment 2024608
Pole naelewa Sana maumivu yakoBomba ndo nini??
Yaani kutembea siwezi sasa nitembee niende wapi
Me maisha yangu ni home ,kazini
Je haja ndogo unapata ya namna ganiSina dalili ya kidney disease bna,halafu asubuhi nikiamka niko normal
Hivi sex inasaidia??
Hivi nani kawaloga enyi kizazi cha sasa?Asante kwa ushauri
Hamna dawa???