Kwani bado una nafasi ya kuchagua masomo mengine, au option ya kuongeza somo la pili?
Kwa kukushauri kama hakuna nafas hizo nakushauri katika masomo ya ku opt (option course) uchague somo moja tu kwa mfano unaweza kufanya option kwenye Geograph) so kila option utaenda ku opt geography department. Nashauri coz wakati wa kujaza form ya ajira ualimu kuna kua na nafasi za masomo mawili pia hata wewe inakupa uwanja mpana ktk kujua vtu vng coz mambo yanabadilika kila siku huwez ukajua system ya elimu itakuaje baada ya we kugraduate.
Ni hayo tu mkuu hongera!
Kwani bado una nafasi ya kuchagua masomo mengine, au option ya kuongeza somo la pili?
Kwa kukushauri kama hakuna nafas hizo nakushauri katika masomo ya ku opt (option course) uchague somo moja tu kwa mfano unaweza kufanya option kwenye Geograph) so kila option utaenda ku opt geography department. Nashauri coz wakati wa kujaza form ya ajira ualimu kuna kua na nafasi za masomo mawili pia hata wewe inakupa uwanja mpana ktk kujua vtu vng coz mambo yanabadilika kila siku huwez ukajua system ya elimu itakuaje baada ya we kugraduate.
Ni hayo tu mkuu hongera!
Kijana unawasiwasi gani, kwa ushauri wangu komaa na iloilo moja hauwezi achwa kwenye ajira, walimu wa math ni wachache sana nchi hii na wanatafutwa kaa dhahab, na rafiki yangu kaajiriwa serikalini lakini anashule mbili za private anafundisha, usihof best.