Naombeni msaada wa packaging na branding process. Wakuu tafadhali.

Naombeni msaada wa packaging na branding process. Wakuu tafadhali.

Katitima

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
630
Reaction score
121
Nina biashara yangu ya duka la nafaka,unga na mafuta ya alizeti.(food stuff) hapa moro mjini.

Nauza mahindi,unga wa mahindi,(sembe & dona),mchele,maharage, korosho,karanga,ufuta, mafuta ya alizeti,ngano ghafi,unga wa ngano,mbaazi,mtama,soya,ulezi na unga wa lishe(mchanganyiko)
tukiondoa unga wa ngano ambao nauza wa AZAM,bidhaa nyingne zote haziko packed na hazna brand names

sasa ninaomba kufahamu mchakato mzma wa kufanya packaging ili ziwe katka kg 1,2,5,10 na 20 na ziwe branded.

Nawasilisha
 
Wakuu mmenisusia mada kuna kitu nimekosea kwani hapo?
 
Nina biashara yangu ya duka la nafaka,unga na mafuta ya alizeti.(food stuff) hapa moro mjini.

Nauza mahindi,unga wa mahindi,(sembe & dona),mchele,maharage, korosho,karanga,ufuta, mafuta ya alizeti,ngano ghafi,unga wa ngano,mbaazi,mtama,soya,ulezi na unga wa lishe(mchanganyiko)
tukiondoa unga wa ngano ambao nauza wa AZAM,bidhaa nyingne zote haziko packed na hazna brand names

sasa ninaomba kufahamu mchakato mzma wa kufanya packaging ili ziwe katka kg 1,2,5,10 na 20 na ziwe branded.

Nawasilisha

Ni pm ntakusaidia
 
Wakuu mmenisusia mada kuna kitu nimekosea kwani hapo?
Wala hujakosea. Kuna branding na packaging. Nadhani ni michakato miwili tofauti - mmoja ni wa kisheria zaidi na mwingine ni wa kibiashara zaid. May be ninaweza kupata baadhi wa watu wenye uzoefu wa branding. Labda naweza kuku-link with some individuals ambao wameanza zoezi hilo hata kama ni kwenye different products (agric) lakini process might be the similar
 
Wala hujakosea. Kuna branding na packaging. Nadhani ni michakato miwili tofauti - mmoja ni wa kisheria zaidi na mwingine ni wa kibiashara zaid. May be ninaweza kupata baadhi wa watu wenye uzoefu wa branding. Labda naweza kuku-link with some individuals ambao wameanza zoezi hilo hata kama ni kwenye different products (agric) lakini process might be the similar

BUBE,nashukuru kwa kuwa pamoja nami na kuni-inspire,lakin pia nikushukuru sana kwa kile unachtaka kufanya kwa ajil yang
 
Good question,, can anyone please answer this sufficiently?
 
Najaribu kama utaelewa usipoelewa ni PM, taratibu ziko kama ifuatavyo nafikiri unatakiwa ufanye brand ya bidhaa zako kwa maana ya muonekano wake kwa wateja wako na jinsi ya kuwavutia < ikiwa na maana ya Brand identity pia kuna tofauti kati ya brand na kampuni miliki mfano Bonite ndio mmiliki wa brand ya Kilimanjaro, s.s bakhresa ndio mmiliki wa brand za azam na sub brands za azam) hii nikiwa na maana unatakiwa ufanye brand mbili ili kuwepo na tofauti kati ya brand ya kampuni na brand ya bidhaa.

Tengeneza kila kitu kwa maana ya hizo package designs na baada ya hapo kuna packaging company unapeleka artwork yako wataprint hiyo mifuko yako na kukufungia.

baada ya hapo unapeleka tdpf na tra kwa ajili ya kuipitisha na kupata viwango vinavyotakiwa tbs watakupa namba na tpdf watakupa cheti,hapo utakuwa tayari kuingiza sokoni bidhaa yako ikiwa branded and packged
 
Back
Top Bottom