Naombeni msaada wa sheria

Naombeni msaada wa sheria

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Mimi nimepanga chumba cha biashara cha duka nililipa mwaka mkataba wangu unaisha mwez wa kumi na mbili tarehe 31 lakin juz kulitokea ajali chumba kikashika moto duka likaungua sasa leo mwenye nyumba kanifukuza anadai nimeunguza chumba kwahiyo na miezi yangu iliyobaki nayo kakatalia nifanyeje ndugu naomben ushauri mimi niko mwanza kama kuna mutu yuko mwanza anajua sheria twaweza wasiliana
 
Masuala ya kesi yanaweza yakawa more cost fully kuliko hiyo miez iliyobaki. Anyway wajuz wa sheria watakuja
 
Mimi nimepanga chumba cha biashara cha duka nililipa mwaka mkataba wangu unaisha mwez wa kumi na mbili tarehe 31 lakin juz kulitokea ajali chumba kikashika moto duka likaungua sasa leo mwenye nyumba kanifukuza anadai nimeunguza chumba kwahiyo na miezi yangu iliyobaki nayo kakatalia nifanyeje ndugu naomben ushauri mimi niko mwanza kama kuna mutu yuko mwanza anajua sheria twaweza wasiliana
 
Umesema ajali ya moto, ni muhimu hiyo ajali ikathibitishwa nini chanzo chake, pakipatikana uthibitisho huo kutoka mamlaka husika ambayo ni TANESCO ndipo unaweza kupata ushauri wa kisheria kwa urahisi.
 
Mimi nimepanga chumba cha biashara cha duka nililipa mwaka mkataba wangu unaisha mwez wa kumi na mbili tarehe 31 lakin juz kulitokea ajali chumba kikashika moto duka likaungua sasa leo mwenye nyumba kanifukuza anadai nimeunguza chumba kwahiyo na miezi yangu iliyobaki nayo kakatalia nifanyeje ndugu naomben ushauri mimi niko mwanza kama kuna mutu yuko mwanza anajua sheria twaweza wasiliana
Ningependa kujua majibu kwa maswali haya,
1. Nini kilikua chanzo cha moto?
2. Kiwango cha uharibifu uliojitokeza (marekebisho yangeweza fanyika ndani ya huo muda wa miezi miwili)?
 
Back
Top Bottom