NAOMBENI MSAADA WAKUBWA

NAOMBENI MSAADA WAKUBWA

Kapepo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
1,066
Reaction score
1,194
Habari jf doctors hivi karibuni nimekuwa nikisumbuliwa na kiungulia kwenye tumbo katikati ya kifua na maumivu kwa mbali sehem ya mbavu ya kulia karibu na tumbo kama dakika mbili hadi tano, pamoja na maumivu ya mbaali sana nyuma ya kiuno pamoja na mgongoni, vile vile tumbo kuunguruma pamoja na kuarisha mara mojamoja na pia kuhisi chakula kama kinarudi kooni baada ya kula kilichonitisha zaidi napata choo cheusi wakuu.
 
Vidonda vya tumbo hivyo ngoja waje ma doc nilipata tatizo kama hilo
 
Nenda hospitali utapimwa na kupewa dawa ila hilo sio suluhisho ,ukishaanza dawa zingatia haya kwa maisha yako yote,Kula kwa wakati,acha mawazo yanayokuumiza,usile vitu vyevye tindikali nyingi kama maharage,pombe n.k,pia epuka vitu kama malimao,machungwa n.k,pole sana...
 
Nenda hospitali utapimwa na kupewa dawa ila hilo sio suluhisho ,ukishaanza dawa zingatia haya kwa maisha yako yote,Kula kwa wakati,acha mawazo yanayokuumiza,usile vitu vyevye tindikali nyingi kama maharage,pombe n.k,pia epuka vitu kama malimao,machungwa n.k,pole sana...
Unamaanisha ntakula dawa maisha yangu yote mkuu
 
Unamaanisha ntakula dawa maisha yangu yote mkuu
No dawa utatumia vikishatulia unaacha,ila unatakiwa kwenye swala la ulaji na mtindo wako wa maisha ndio utakuwa kama nilivokuleza hapo juu kwa maisha yako yote,ili uwe salama...
 
No dawa utatumia vikishatulia unaacha,ila unatakiwa kwenye swala la ulaji na mtindo wako wa maisha ndio utakuwa kama nilivokuleza hapo juu kwa maisha yako yote,ili uwe salama...
Juzi nlienda hospital daktari akaniambia ni acid tumboni so akaniandikia dawa nianze kutumia je hakuna shida maana hakunifanyia vipimo vyovyote vile zaidi ya kuchukua maelezo
 
Juzi nlienda hospital daktari akaniambia ni acid tumboni so akaniandikia dawa nianze kutumia je hakuna shida maana hakunifanyia vipimo vyovyote vile zaidi ya kuchukua maelezo
Endelea nazo,ila kama zisipokusaidia fanya vipimo,hiyo ndio ki uhakika zaidi...
 
Habari jf doctors hivi karibuni nimekuwa nikisumbuliwa na kiungulia kwenye tumbo katikati ya kifua na maumivu kwa mbali sehem ya mbavu ya kulia karibu na tumbo kama dakika mbili hadi tano, pamoja na maumivu ya mbaali sana nyuma ya kiuno pamoja na mgongoni, vile vile tumbo kuunguruma pamoja na kuarisha mara mojamoja na pia kuhisi chakula kama kinarudi kooni baada ya kula kilichonitisha zaidi napata choo cheusi wakuu.
Mimi juzijuzi tu nilitokewa na Hali Kama hiyo
Nikashauriwa nitumie maziwa

Niliambiwa TATIZO hilo humpata mtu Iwapo akiwa na msongo WA mawazo

Nilitumia Siku 2 Hali yangu ikarejea kawaida

Nb: Kumbuka kuchemsha maziwa fresh Kabla ya kuyatumia
 
Mimi juzijuzi tu nilitokewa na Hali Kama hiyo
Nikashauriwa nitumie maziwa

Niliambiwa TATIZO hilo humpata mtu Iwapo akiwa na msongo WA mawazo

Nilitumia Siku 2 Hali yangu ikarejea kawaida

Nb: Kumbuka kuchemsha maziwa fresh Kabla ya kuyatumia
Assante kaka kwan pia nasumbuliwa na msongo wa mawazo huenda ikawa tatizo hapo
 
Habari jf doctors hivi karibuni nimekuwa nikisumbuliwa na kiungulia kwenye tumbo katikati ya kifua na maumivu kwa mbali sehem ya mbavu ya kulia karibu na tumbo kama dakika mbili hadi tano, pamoja na maumivu ya mbaali sana nyuma ya kiuno pamoja na mgongoni, vile vile tumbo kuunguruma pamoja na kuarisha mara mojamoja na pia kuhisi chakula kama kinarudi kooni baada ya kula kilichonitisha zaidi napata choo cheusi wakuu.
Maumivu sehemu ya Juu ya tumbo!
Choo cheusi!
Hivho unachoona kama nyeusi ni damu imekua Oxidized kwenye njia ya chakula na kubadilika kuwa nyeusi

Hizi dalili mbili zinatosha kunambia una vidonda vya tumbo.

Kwenye post yako nyingine uliambiwa hiyo ni acid hivo ukapewa dawa.

Nafikiri ulienda facility ambayo haina vipimo vya kutosha.

Nenda hospitali yenye facility ufanye vipimo kuthibitisha hilo tatizo.

Pima wingi wa damu maana hiyo damu inayopitia kwenye choo inakupotea.

Ukishathibitika kuwa na vidonda vya tumbo basi utaanzishiwa dawa tatu(Triple Therapy) na kati ya hizo tatu moja itakua ya acid na nyingine zitakua antibiotics ambazo mara nyingi zinalenga kuua H.Pyroli ambaye ni bacteria anayeleta vidonda vya tumbo!

Zingatia hayo nilokwambia maana vidonda vya tumbo ambavyo havijatibiwa vitaleta complocations kibao ambazo kuu na zinazotisha Uhai wako ni hizi hapa.

1. Perforation
2. Cancer ya Tumbo
 
Back
Top Bottom