Ila we wa science boom utapata 2.bt kwa haraka haraka,njoo na kama laki mbili hvi..direct cost 84000,rum cumpus ni 96000,mabibo ni 59500.
Bro,kumbe room za mabibo ni cheaper kuliko za campus?Na nitafanyaje fanyaje ili nipate hostel ninayoitaka au unapangiwa moja kwa moja na uongozi?