MZEE CHAKA
Member
- May 27, 2021
- 87
- 141
Una hela..?Message…MIMI SIYO MGENI SANA HUMU JF. LAKINI SINA UTAALAMU WA KUTOSHA KATIKA MATUMIZI SAHIHI YA HUU MTANDAO. INGAWA NINAWEZA KUCHANGIA MADA KATIKA THREAD YA MTU MWENGINE. LAKINI MIMI BINAFSI NINAPATA CHANGAMOTO KATIKA KUANZISHA THREAD YANGU. NA HASWA KULE KATIKA JUKWAA LA "STORY OF CHANGE" MWENYE KUJUA NAOMBA ANIELEKEZE. AHSANTENI
Nakushauri kabla hujaanzisha mada yako au hata kama umeshaiandaa kabla ya kuipost basi pitia tena huu uzi ili uweze kujua unakosea wapi.Message…MIMI SIYO MGENI SANA HUMU JF. LAKINI SINA UTAALAMU WA KUTOSHA KATIKA MATUMIZI SAHIHI YA HUU MTANDAO. INGAWA NINAWEZA KUCHANGIA MADA KATIKA THREAD YA MTU MWENGINE. LAKINI MIMI BINAFSI NINAPATA CHANGAMOTO KATIKA KUANZISHA THREAD YANGU. NA HASWA KULE KATIKA JUKWAA LA "STORY OF CHANGE" MWENYE KUJUA NAOMBA ANIELEKEZE. AHSANTENI
HAPANA SINA HELA. TUMIA KAULI MBIU YA JPM, "ELIMU BURE" NIELEKEZE NDUGU YANGUUna hela..?
Watafute mods hao ndo wakuelekeze.HAPANA SINA HELA. TUMIA KAULI MBIU YA JPM, "ELIMU BURE" NIELEKEZE NDUGU YANGU
AHSANTE. NIMESOMA VIZURI MAELEKEZO. NAHISI KUNA SEHEMU NINAKOSEA. LAKINI NINGALI NINAJIFUNZANakushauri kabla hujaanzisha mada yako au hata kama umeshaiandaa kabla ya kuipost basi pitia tena huu uzi ili uweze kujua unakosea wapi.
Uzi upo wazi sana na unajieleza vyakutosha. Kutakuwa kuna mahali unakosea. Labda mada unayotaka kuanzisha haikidhi vigezo vya kuwepo humo au labda ni shida nyingine. Pitia tena.
Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change)
Jamii Forums (JF) ni Asasi ya Kiraia inayoratibu mtandao wa JamiiForums na kuhamasisha Haki za Kidigitali, Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora. Jamii Forums imekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha uandishi wa maudhui bora na yenye tija mtandaoni kwa zaidi ya miaka 15 kwa kutoa jukwaa la...www.jamiiforums.com
AHSANTE BWAN SIDE. UWE NA SIKU NJEMA. BAADA TUKAPATE SWALAT JAMA'AWatafute mods hao ndo wakuelekeze.