Naombeni msaada wana JF

Naombeni msaada wana JF

edinajailos

Member
Joined
Oct 2, 2012
Posts
22
Reaction score
18
Nataka kununua gari hapa Dar(showroom) na kulipeleka Kagera,Lakini ninavyofahamu gari kama hujabadilidha umiliki,haina bima na haijalipiwa motor vehcle licence haiwezi kuingia barabaran hadi uwe umetimiza masharti hayo.Je nifanyeje ili niweze kwenda nalo Kagera ili nikafanyie process za transfer,bima na motor vehcle licence huko.Je kunautaratibu wa kupewa kibali cha muda nikalipeleka hadi Kagera?
 
Kuna taratibu zilizo wazi ambazo unatakiwa kuzifuata,ndio maana wawezakuona nchi jirani zisizo na bandari kama rwanda na burundi wanatumia sana port yetu ya dar es salaam kuingiza magari na yakifika dar wanatafuta madereva wa kuyaendesha mpaka kwao,magari hayo yanakuwa hayana namba ila sehemu ya plate number uwa wanachora namba za mda ambazo ni chasis number basi,pia wanakuwa na supporting docs kuonyesha kuwa wameyanunua...pia kwa issue yako ni hivyo tu,kuwa na docs kwamba umenunua mbele kwenye plate number weka chasis number kisha anza safari,nilishafanya hivyo...+971504374387 dubai
 
Bukoba hakuna showroom mkuu? ili kupunguza usumbufu, ghlama za usafiri na risk ya ajali..
 
Back
Top Bottom