M mbu wa dengue JF-Expert Member Joined Jun 2, 2014 Posts 8,860 Reaction score 11,554 Nov 8, 2020 #41 ladyfocus said: Ndio na ushahidi tuliupeleka wakasema walisign tu ili nisijidhuru. Click to expand... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kudadeki chezea wachaga wewe wamepiga chenga ya mwili
ladyfocus said: Ndio na ushahidi tuliupeleka wakasema walisign tu ili nisijidhuru. Click to expand... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kudadeki chezea wachaga wewe wamepiga chenga ya mwili
M mbu wa dengue JF-Expert Member Joined Jun 2, 2014 Posts 8,860 Reaction score 11,554 Nov 8, 2020 #42 ladyfocus said: aliweka shamba lenye nyumba ambayo haijaisha kumbe akazunguka na kuiuza na kukimbia kwahiyo alikua na hati mbili moja aliyotupa na moja aliyouzia Click to expand... Dah huyo jamaa anaonekana ni tapeli mzoefu. Hata sijui ni kitu gani kilikuaminisha kuwa huyo jamaa ni mtu safi na anafaa kudhaminika.
ladyfocus said: aliweka shamba lenye nyumba ambayo haijaisha kumbe akazunguka na kuiuza na kukimbia kwahiyo alikua na hati mbili moja aliyotupa na moja aliyouzia Click to expand... Dah huyo jamaa anaonekana ni tapeli mzoefu. Hata sijui ni kitu gani kilikuaminisha kuwa huyo jamaa ni mtu safi na anafaa kudhaminika.