Naombeni msaada wapendwa!!!!!

hawawezi kujitahidi maana mawazoni mwao wameshajiwekea hawajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja

The faithful ones are not yet born....let me wait....l.o.l.....inauma sana,vishawishi vyote tunavyokutana navyo tunakataa halafu wenzetu hata effort hakuna......:rain:
 

Alichokosea huyu mwanaume ni hilo la kutafuta nyumba ndogo kwa sbb alizozitoa Mwanajamii hapo juu; hakukosea kumuoa huyo mama, km alifanya hivyo kwa hiari yake.

2.Je kwa nini huyu baba asimwendeleze huyu mama/mke wake kielimu
kidogo ili aweze kuchangamsha akili kidogo?

Hakuna awezaye kulijibu hili isipokuwa huyo "baba".

3. Je ni vizuri mtu kuoa/kuolewa na mtu ambaye walau akili zenu zinaendena katika utendaji wa mambo hasa ukizingatia mipango na maono yako ya maisha?

Ndiyo, bila shaka!

4. Je huyu baba anafanya makosa kumfanya mpango wake wa kando
mshauri wa mipango yake ya maendeleo zaidi ya mke wake?

Jibu: Na. 1 hapo juu.

Mwisho: Unamshauri nini huyu mama mwenye nyumba, ili aweze kuishi kwa furaha na amani katika ndoa yake?

Akae na mumewe wajadili tofauti zao kimtazamo, na kila mmoja wao ajiweke huru ktk hili.
 
hakuna la zaidi hapo LD zaidi ya kujiendekeza.................. mi siamini kama huko nje wanapata zaidi ya wanayopata majumbani kwao
Ni kweli ila kama wamama ndani tutabweteka na kusahau wajibu wetu kama wake.............nje wataprovide vya ziada.
 
The faithful ones are not yet born....let me wait....l.o.l.....inauma sana,vishawishi vyote tunavyokutana navyo tunakataa halafu wenzetu hata effort hakuna......:rain:

kuna wababa wengine kila mwanamke wanasema alimuanza............... yaani yeye kila siku anafwatwa tuuuuuuuuuuuuuuuuu, sijui ana MATATIZO gani?
 
LD na wengineo-mnaotaka ku-pata somo la mme/mke na uwiano wa elimu/kisomo , uzoefu unaonyesha kuwa kama hakuna kanuni au formula ya jambo fulani, mara chache sana kupata mawazo yanayofanana. Wapo wasomi kwa wasomi hawaivi, wengine wasomi wote wanaiva vyema. Wapo waliopishana elimu na wanaishi vema, wengine ni balaa. Kwa kisa cha huyu mama wa nyumbani, kwa mtazamo wangu tatizo ni lake. Haiwezekani mume ampe mtaji, eti ashindwe kumpeleka shule mkewe. Mke akitaka shule ataenda, mradi aoneshe nia!
 
Ni kweli ila kama wamama ndani tutabweteka na kusahau wajibu wetu kama wake.............nje wataprovide vya ziada.

sipingani na hilo MJ1, lakini si umesikia habari za utakulaje mboga moja siku 7? kwa hiyo hata ukijitahidi vipi wanafwata kubadilisha mboga. kwa mtazamo wangu mimi naona wanafwata kubadilisha sahani za kupakulia hizo mboga, maana kama ni kubadilisha mboga hata nyumbani inawezekana
 
kuna wababa wengine kila mwanamke wanasema alimuanza............... yaani yeye kila siku anafwatwa tuuuuuuuuuuuuuuuuu, sijui ana MATATIZO gani?

wanafuatwa wao wa nini special.....kujidai tu na wewe umuone wenzio wanamgombania.....hakuna lolote,today's men are cheap kama peremende..........
 

Nakubaliana na wewe wanabadilisha hizo mboga/sahani yakiwafika wanarudi kwa mkewe kimyaaa
 
aaaagri dada michele kama kuna mtu anyeumia katika maswala haya ni mwanamke,na mara nyingi wanakuwa wanaambiwa wavumilie tu kwakeli ndo maana wengi wanapata magonjwa ya ajabu ni uvumilivu tu,hamna raha ni kama kuingia kwenye kifungo ambacho upande mmoja tu ndio huwa unafaidi zaidi lakini asilimia kubwa ni mateso.



 
Fixed point hapo kwenye RED naona unalazimisha tu ila ukweli unabaki pale pale..!! Ivi ulishawai kuona mtetea (kuku) yupo katikati ya majogoo na hakuna ngumi hapo?

Kwa hiyo nyie wanaume ni sawasawa na Majogoo, na mabeberu??
Nyie si mmeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu?

Na utashi wa kuchagua mema na mabaya??
 
Sawa Kabisa FP na ndicho nilichokimaanisha na inapotokea mama kabweteka to the extent hata haki ya mumewe hampi kila kukicha amechoka .......akienda nje atapewa kwa dozi ya panadol kutwa mara tatu na nyingine apelekewe ofcn lunch hour---- si ndo vya ziada hivyo mamii??

Let him who gp out of his marriage aende kwa kuexplore (i.e. tamaa za mwili ambayo ni dhambi) and not out of kupungukiwa au kukosa.
 
si unaelewa tena dena sisi ndio wa kuuguza wao wale raha wakiona viboko wanajua kuna mahali watapokolewa na kujibanza kimya sijui hawa vviumbe kama watakaa wajifunze.


Nakubaliana na wewe wanabadilisha hizo mboga/sahani yakiwafika wanarudi kwa mkewe kimyaaa
 
Kwa hiyo nyie wanaume ni sawasawa na Majogoo, na mabeberu??
Nyie si mmeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu?

Na utashi wa kuchagua mema na mabaya??


Utashi sawa LD......ila mengine twafanana aisee....na mabeberu etc
 
wanafuatwa wao wa nini special.....kujidai tu na wewe umuone wenzio wanamgombania.....hakuna lolote,today's men are cheap kama peremende..........

wakati mwingine nawaangaliaga tu wanavyojisifia kuchukua wanawake wengi, yaani kama sifa vile. huko ni kuudharau mwili wako na kujishushia thamani. hivi unajisikiaje mwili wako ukiwa ni kwa ajili ya mkeo tu! yaani hakuna kinyago chochote huko mtaani kinachoweza kuona mwili wako isipokuwa mkeo? kwanza mimi naona unakuwa confident, unachapa kazi, mawazo yanakuwa kwa mtu mmoja tu, hakuna pressure, yaani raha tupu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
si unaelewa tena dena sisi ndio wa kuuguza wao wale raha wakiona viboko wanajua kuna mahali watapokolewa na kujibanza kimya sijui hawa vviumbe kama watakaa wajifunze.

Tena hata utatolewa out eti leo nimepata pesa ya safari nataka nikutoe my wife wangu kumbe anapoza machungu ya huko alikotoka yaani hata kama una mtoto mdogo hata hospitali atakusindikiza na kubeba mtoto juu ha ha ha wanaume mie huwa nawapenda na kuwaangalia tu maana siwawezi na mambo yao
 
hizo chai zao wala usisikilize wanvonyemelea sketi huko barabarani kama ni mumeo waenza usiamini ngoja umkute atakupa story yeye ndo ananganganiwa hawana lolote hao washezi kuliko nyama ya chura kaa uone wanavotongoza toka asubuhi utafikiri hawana wake.


kuna wababa wengine kila mwanamke wanasema alimuanza............... yaani yeye kila siku anafwatwa tuuuuuuuuuuuuuuuuu, sijui ana MATATIZO gani?
 
Michelle & FP,

Jioni njema, sijui nianzie wapi leo? kwa Cheupe pale Chang'ombe au kwa Amina pale Magomeni au kwa Tunu mitaa ya Sinza?

Anywayz chat later
 

kwa WANANDOA hiyo kwenye red ni dhambi................ unamshawishi mwenzako kutoka nje. kwa sisi wakatoliki inabidi kuungama kabisaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…