Naombeni msaada wapendwa!!!!!

Asante babu yangu,
Lakini sasa babu, mbona akili yangu inakataa kuamini kwamba wanaume wote lazima watoke nje ya ndo?
Kwani wanaume hawafuati sheria na amri za Mungu?
Elodiii hebu msome babu hapa chini nadhani ameshalijibu hilo

Huu ni msimamo wa babu na hauusiani na imani ya dini yoyote ya dini wala mashirika ya kutetea jinsia za watu!
 

Babu naona unataka kujihalalishia kutembea nje ya ndoa
 


mmmmmhhhhhhhhh,yatosha kwa leo.....
 
i have a feeling kuwa wewe wahusika na hiyo nyumba ndogo kw anamna moja au nyingine.... stay away from ndoa ya watu...HAYAKUHUSU!
 

Lakini babuuuuuuuuuuuuuu!!!!
Daaaaaa ngumu kumeza lakini........................daaaaa inatuuma sana sisi wanawake nadhani babu.
Kweli hapo pamekaaa je jamani.............hiiiiiiiiiiiii!!!!!
 
mmmmmhhhhhhhhh,yatosha kwa leo.....

Michelle darling...

habari ndio hiyo......nyie jidanganyeni tu na mjipe moyo lakini huo ndio ukweli wenyewe.

Tunachojitahidi sisi wastaarab ni kuhakikisha hamjui na hivyo mnajifariji mko peke yenu.......Laiti kuta zingekuwa zinaongea, mngeambiwa mengi sana!
 

LD!

Sina hakika kama ulichoandika ni something real au ni hypothetical case,vyovyote iwavyo;ulichoandika katika ujumla wake kinawakilisha matatizo ya jumla kwenye ndoa nyingi za kitanzania ambazo wanandoa wako kwenye age hiyo 50's na 60's...ukweli ni kwamba wengi waliingia kwenye ndoa kwa influence ya familia zao (aidha kuchaguliwa ile purely au kushinikizwa) na siyo kwa mapenzi yao.ndicho kinacho-reflect kwenye ndoa hizo.

Well,inasikitisha sana kwani karibu asilimia 99.9 wahanga wanakuwa ni kina mama,siyo mageni hayo yapo na pengine wengi wetu tupo au tulilelewa kwenye familia kama hizo.

Kuwa mkweli kwa stage aliyofikia huyo baba hakuna kitakachorudisha mapenzi yake kwa mama,sasa hata mama leo akijiendeleza akapata elimu kidogo abaki aishi kwenye hiyo ndoa kwa mazoea au kwa mapenzi?anayempenda mke wake kwa dhati hawezi fanya yote hayo (kumzalia nje,kumleta mtoto nyumbani na bado anaendelea na huyo wa nje,aah hapo hakuna mapenzi)

Mama kwa asilimia zote ana mapenzi na mumewe lakini Baba hana mapenzi kabisa.

Ushauri wangu ni kwamba mama kama ana watoto wakubwa ambao wanaweza ku-msupport aangalie maisha yake tu,Mungu atambariki kwenye hilo...No More..aache kuishi kwa mazoea,ndiyo ambayo yamewaua mama zetu wengi au yamewafanya waishi kama watumwa kabisa (refer kwenye story yako kufokewa na house girl!!)


 
i have a feeling kuwa wewe wahusika na hiyo nyumba ndogo kw anamna moja au nyingine.... stay away from ndoa ya watu...HAYAKUHUSU!

Laiti ungejua ukweli ulivyo kaka angu, ungeomba nikuongoze sala ya toba kwa ajili ya hizo feelings zako.
Kama una mapenzi mema ni PM, nikwambie yale ambayo sikuyaandika ili uendelee ku feel vizuri!!
 
Babu naona unataka kujihalalishia kutembea nje ya ndoa

Nilishaweka angalizo babu mdogo!

Hiyo ndiyo hali halisi na haihusiani na imani ya dini yoyote.....

Linapokuja swala la ngono; Hakuna cha dini, imani, kabila, uhalali, umri wala nini sijui. Inatafutwa space ya faragha watu wanamaliza shida zao. Hapo ndipo unaweza kuwa mwanzo wa mahusiano au ndo mwisho wake
 
Laiti ungejua ukweli ulivyo kaka angu, ungeomba nikuongoze sala ya toba kwa ajili ya hizo feelings zako.
Kama una mapenzi mema ni PM, nikwambie yale ambayo sikuyaandika ili uendelee ku feel vizuri!!

Huko kwenye PM ntawafuata huko huko!
 

Daaa umesema kweli kabisa mpendwa, nakiri kabisa kama sio Neema ya Mungu,
na huyu mama ameuweka moyo wake kwa Mungu na kumtazame yeye kama mtetezi wake hapa duniani,
pengine tungekuwa tunaongea mengine sasa hivi.
 
Laiti ungejua ukweli ulivyo kaka angu, ungeomba nikuongoze sala ya toba kwa ajili ya hizo feelings zako.
Kama una mapenzi mema ni PM, nikwambie yale ambayo sikuyaandika ili uendelee ku feel vizuri!!
LD ulichomjibu hapa kinatosha ..... mpotezee.

BTT
Ninafikiri sasa hapa kutokana na post ya Asprin tukiishupalia sana tunawezajikuta tunapoteza mwelekeo wa thread na kuanza kudiscuss ile ya Are we Fighting the Lost Battle iliyotoka mwaka jana.

Kama nimemwelewa vema Asprin alitaka kumaanisha kuwa kuwa na mpango wa nje kwa huyo Baba tusiikomalie sana kama ni kosa kwani kwa mtazamo wake usiofungamana na upande wowote (Non- Aligned Mtazamo -NAM) angekuwa na mke msomi, mwenye akili za biashara au hata mke ambaye ndie chanzo cha mafanikio ya familia stil bado angetoka nje kwa kuwa ni hulka ya kiumbe mwanaume (Acc. to Asprin).

So kwake hapa anaashiria kusema kuwa tujikite zaidi katika kuangalia namna ya kuisaidia ndoa ya Bi Mkubwa na kumfanya Bi Mkubwa ajione yu duniani au aishi maisha na si mfano wa maisha akiwasindikiza wengine..kukazania kulaumu tendo la baba la kuchukua nyumba ndogo kwa Asprin si hoja ya msingi.
 
Daaa umesema kweli kabisa mpendwa, nakiri kabisa kama sio Neema ya Mungu,
na huyu mama ameuweka moyo wake kwa Mungu na kumtazame yeye kama mtetezi wake hapa duniani,
pengine tungekuwa tunaongea mengine sasa hivi.

LD.............naona Biblia ya Mama haina ule mstari usemao ...Jisaidie nami nitakusaidia.

Afanye kitu huku akiomba mwongozo wa mwenyezi MUNGU
 

Respect mjukuu!!

Daaa huu ukweli wa babu unauma sana!!
Ila hata mimi nilivyoangalia maisha yanavyokwenda,
Nilijikuta nafikiria, hivi kama sio huyu mama (mpango wa kando) kuna mambo fulani fulani yangekuwa,
hayaendi.
Ikiwa ngumu kwangu kusema Yes kwa mpango wa kando!!
Wakati huo huo, ikawa ngumu kwangu kukubaliana na maisha anayoishi mother house!!
 

Aisee mjukuu hebu njoo chukua MARUNYAG toti mbili hapa!

Hili la mpango wa nje si mjadala kwa kuwa haliepukiki.....

Wanachosahau watu ni kuwa hata huu mpango wa nje iko siku utajikuta na wenyewe umeletewa mpango wake wa nje.......itafika sehemu huyu baba hataridhishwa na huyu, na kama ilivyokuwa kwa jasiri haachi asili yake, huyu jamaa ataopoa kifaa kingine.....
 
LD.............naona Biblia ya Mama haina ule mstari usemao ...Jisaidie nami nitakusaidia.

Afanye kitu huku akiomba mwongozo wa mwenyezi MUNGU

Umeona eeh,
Yani ukiiangalia sana hiyo, unaona ni kama vile mtu anavyopoteza mawazo na Valuu,
Huku ikawa kinyume chake tuuuuuuuu!!!
 
kwenye hizo bolded parts hizo NAPINGANA NA WEWE MOJA KWA MOJA......na pingana na wanaokusupport pia...!
SIO KWELI
HUO NI UPOTOSHAJI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…