naombeni msaada wataalam.

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,566
Reaction score
13,770
kuna ndugu yangu anasumbuliwa na vipele ambavyo vinajitokeza mikononi,na mgongoni,alipima vdrl ikawa non-reactive.wakasema itakuwa ni aleji! Wakamwandikia vidonge viitwavyo Pledinsolone,kweli ametumia dose,tatizo likaisha kabisa,cha ajabu vimeanza tena,ila inapotumia vinaacha!tatizo litakuwa nini?
 

Mwili wake umekosa virutubisho.....vipo virutubisho vilivyofanyiwa uchunguzi kwa miaka 25 na baraza la wanasayansi Israel na marekani..Vitamsaidia !! Wengi wameona mafanikio ikiwemo mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…