Naombeni msaada wenu jamani

Naombeni msaada wenu jamani

akiba

Senior Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
145
Reaction score
24
Nina tatizo la maziwa kuwaka moto,nimehangaika hospital lakini sijapata nafuu
 
Nina tatizo la maziwa kuwaka moto,nimehangaika hospital lakini sijapata nafuu

Pole sana. Mimi siyo mtaalam ila hebu pia ingia google search tatizo lako kwa kutumia key words tifautitofauti
 
Doctar mzizi mkavu na wengine naomba mje,hali ni mbaya.
 
nimecheki mimba kama mara 3 na ni juzi nimemaliza kubleed.
 
tatizo la kutokewa na v uvimbe kwenye jicho kope kama vijipu msaada pia jamani
 
Back
Top Bottom