Naombeni msaada wenu kuhusu post za ualimu

Joined
Jul 16, 2014
Posts
9
Reaction score
1
Niliomba nafasi ya kusoma mafumzo ya ualimu ngazi ya cheti,

Naomba kwa mwenye majina aniangalizie jina langu tafadhari.
 
naitwa EDMUND JOSEPH MPANDALONI
miliomba nafasi ya kusomra mafumzo ya ualimu ngazi ya chrti naomba kwa mwenye majina aniangalizie jina langu


Mkuu nimekuangalia haupo halafu kwa sasa hakuna mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti isipokuwa imekua diploma ya elimu ya msingi.

Pili kama ulipata ufaulu chini ya div one mpaka three jua umekosa mwaka huu uchaguzi haujagusa kabisa div four.

matokeo ya uchaguzi unaweza yapata hapa http://www.nacte.go.tz/pdfs/Stashahada_ya_kawaida_elimu_ya_awali.pdf

http://www.nacte.go.tz/pdfs/stashahada_ya_kawaida_elimu_ya_michezo.pdf

http://www.nacte.go.tz/pdfs/stashahada_ya_kawaida_elimu_ya_msingi.pdf
 
naitwa EDMUND JOSEPH MPANDALONI
miliomba nafasi ya kusomra mafumzo ya ualimu ngazi ya chrti naomba kwa mwenye majina aniangalizie jina langu

hebu soma kwanza mwenyewe ulichokiandika halafu ujiulize kama unafaa kufundisha watoto wa watu
 
akhsante mkuu ila mm nmeona kwenye tovuti nyngne zikionyesha uwepo wa post za cheti kw wanafunzi tuliohitimu miaka ya nyuma tangu 2012 kurud nyuma na inaonyesha wanafunzi wengi wametokea huko kw wale wenye iv ya 26 na 27.
mf blog ya makambakokwetu.
 
Nsumbazunya
unajua ww n mwelewa lakini n mbxh nadhani umenielewa ila n jeuri yako tu
hii ni typng error ila nmeeleweka na ndio maana najibiwa.
BADILIKA MKUU
 
Majibu hayajatoka umengangania wapi???? Wacha kumzingua mwenzako
 
Yeah yametoka kweli, lakini cha kushangaza hata wenye division II wameachwa!!!!!!!!!! Anyway even those selected some are already pursuing their high school studies country wide and will not bother bout that.
 


:cool2: Hapa JF tunahitaji watu jamii ya LUSUNGO ambao hutoa msaada sahihi kwa wakati muafaka kwa wanaouhitaji. Ni kweli selection ilishafanyika na waliochaguliwa kuingia vyuo vya serikali wanakwenda kuchukua Diploma na sio Ualimu ngazi ya cheti. Hata hivyo vyuo vya visivyo vya serikali vitaendelea kutoa mafunzo ngazi ya cheti (IIIA) kwa mwaka huu 2014/15. Hivyo unashauriwa kuomba mafunzo hayo katika vyuo hivyo.
 


Ahsante ubarikiwe
 
LUSUNGO mwangalie na huyu dogo langu ZERA BETSON CHAULA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…