majibu ya hospitali yamesemaje?Habari zenu, mwenzenu na shida tarehe 1 juz niliamka asubui nikawa naskia maumivu ya tumbo ghafla nikaanza kuharisha nakutapika baada ya kwenda hospital wakanipima nikaambiwa na typhoid na vidonda vya tumbo wakanichoma sindano ya kuzuia kutapika na nikawekewa drip 3 za maji ila cha kushangaza mpaka Leo bado naharisha na kutapita na kula pia siwezi hapa nilipo nmejikatia tamaa maana mwili unachoka sana kizunguzungu na kuishiwa nguvu, je hii ni hali ya kawaida au kuna Dawa naweza kutumia kutatua hili tatizo naombeni msaada wenu niweze kupona nateseka
Nashindwa kula ila najitahidi hvyohvyo nikiona tu chakula au nikiskia harufu natapikaUlikula chakula tangu juzi?
Typhoid na vidonda vya tumbomajibu ya hospitali yamesemaje?
Acha kula tegemea maji ya drip kwa masaa mengine 24Nashindwa kula ila najitahidi hvyohvyo nikiona tu chakula au nikiskia harufu natapika
AsanteUshauri wangu kunywa maji mengi jaribu maji ya vuguvugu halafu weka kijiko kimoja cha sukari na chumvi kidogo.
Ndukiiiii [emoji125]ββοΈ[emoji125]ββοΈ[emoji125]ββοΈ
Una maanisha nikawekewe tena dripAcha kula tegemea maji ya drip kwa masaa mengine 24
Kumbe umesharudi nyumbaniUna maanisha nikawekewe tena drip
Ndio nmerusiwa ila naona bado naharisha na kutapikaKumbe umesharudi nyumbani