Naombeni msaada

Naombeni msaada

Sashay

Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
38
Reaction score
1
Wapendwa ni wapi naweza kupata viwanja vilivyopimwa hapa Dar es Salaam. Asanteni
 
Viwanja vilivyopimwa viko vingi,tatizo vilinunuliwa na wajanja ili waje wauze kwa bei ya juu kwa wengine kama wewe, maeneo yaliyopimwa na viwanja viko ni kama haya, Buyuni njia ya kisarawe, Tuangoma Kigamboni na Mwanagati. Kuvipata ni lazima ulambwe cha juu na wajanja. Na kama una ujanja wa kufika ardhi pale na ukawa na bahati unaweza pata ambavyo havijauzwa.
 
Nashukuru sana Malali, nitafika hapo Ardhi nijaribu bahati yangu.
 
Ni pm namba yako ya simu na unahitaji vingapi?
 
Vyabuyuni kwa watu vinategemea na eneo : kama ni karibu na barabara au mbali kidogo na barabara: Pia size, na pia unauziwa na nani :
 
Back
Top Bottom