oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
mimi ni mwanamke wa miaka 24 sasa,ninatatizo la kutoa harufu ukeeni,kuna kipindi nilishika ujauzito nikaambiwa kua kutokana na hili tatizo mimba yaeza toka na kizazi,na kipindi nina mimba ndio harufu ilizidi mpaka nikawa siezi kaa na watu
nikapewa dawa flgyl nikaambiwa nimeze kumi na dox,cipro na candistat,hyo ilikua august 2012 na nikapona,sasa baada ya miez miwili ikarudi tena,nikapewa the same medication,nikapona,saiv imerudi tena,kuna mtu kaniambia kua ni STD's,sasa najiuliza km ndio hiyo mbona mpenz wangu hajapata?na STD's si hua mtu wajisikia kama homa na uchafu watoka mwingi wa njano?mimi sitokwi na huo uchafu wala homa sina
maybe mimi ndio sielewi labda,inamaana vaginal odour inasababishwa na STD's tuu?na lilinianza nilipo shika mimba
nikapewa dawa flgyl nikaambiwa nimeze kumi na dox,cipro na candistat,hyo ilikua august 2012 na nikapona,sasa baada ya miez miwili ikarudi tena,nikapewa the same medication,nikapona,saiv imerudi tena,kuna mtu kaniambia kua ni STD's,sasa najiuliza km ndio hiyo mbona mpenz wangu hajapata?na STD's si hua mtu wajisikia kama homa na uchafu watoka mwingi wa njano?mimi sitokwi na huo uchafu wala homa sina
maybe mimi ndio sielewi labda,inamaana vaginal odour inasababishwa na STD's tuu?na lilinianza nilipo shika mimba