Naombeni njia rahisi ya kupata hii hela NSSF

Naombeni njia rahisi ya kupata hii hela NSSF

Mchimba Chumvi

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
2,244
Reaction score
5,500
Wakuu baada ya life kuninyoosha nimekumbuka nina 600k NSSF,2019/2020 nilifanya kazi kampuni moja kama security officer baada ya Covid sikuongezewa mkataba.
Kwasasa sina mawasiliano na mwajiri na ni ngumu mimi kupata sahihi ya mwajiri wangu wa zamani na kama nitapata nitapata kwa gharama kubwa.It’s not worth

Najua JF humu wataalam hamshindwi kitu,nisaidieni naipateje hii pesa ndani ya mda mfupi bila kutimiza hicho kipengele
 
Wakuu baada ya life kuninyoosha nimekumbuka nina 600k NSSF,2019/2020 nilifanya kazi kampuni moja kama security officer baada ya Covid sikuongezewa mkataba.
Kwasasa sina mawasiliano na mwajiri na ni ngumu mimi kupata sahihi ya mwajiri wangu wa zamani na kama nitapata nitapata kwa gharama kubwa.It’s not worth

Najua JF humu wataalam hamshindwi kitu,nisaidieni naipateje hii pesa ndani ya mda mfupi bila kutimiza hicho kipengele
Nenda Nssf na namba Yako,na jina ulilokuwa unatumia kazini, Mengine utayajua huko huko,saini ya mwajirivhaihusiki huko
 
Back
Top Bottom