Naombeni phrases mbalimbali za kisheria

Naombeni phrases mbalimbali za kisheria

GANG MO

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
2,092
Reaction score
2,210
Habar ya asubuhi wanasheria wa jukwaa hili. Nipo hapa kuomba orodha ya phrases mbali mbali zinazotumika katika sheria. Itakuwa ni vema ukiweka katika lugha ya english na tafsiri yake katika lugha ya kiswahili. Natanguliza shukrani

sent using [emoji85]
 
Habar ya asubuhi wanasheria wa jukwaa hili. Nipo hapa kuomba orodha ya phrases mbali mbali zinazotumika katika sheria. Itakuwa ni vema ukiweka katika lugha ya english na tafsiri yake katika lugha ya kiswahili. Natanguliza shukrani

sent using [emoji85]
Non est factum=not my deed. Legume bacclaures= llb. lexniusta non est lex= law without justice is not law

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar ya asubuhi wanasheria wa jukwaa hili. Nipo hapa kuomba orodha ya phrases mbali mbali zinazotumika katika sheria. Itakuwa ni vema ukiweka katika lugha ya english na tafsiri yake katika lugha ya kiswahili. Natanguliza shukrani

Nemo dat quod non habet-You cant give what you dont have
Audi alteram partem-Hear the other part
Nemo judex in causa sua-You cant be a judge in your own cause.
alias-known as.
Fragrante delicto-redhanded
Nula poena,sine lege-There is no punishment without law.
De jure.
De facto-
 
Habar ya asubuhi wanasheria wa jukwaa hili. Nipo hapa kuomba orodha ya phrases mbali mbali zinazotumika katika sheria. Itakuwa ni vema ukiweka katika lugha ya english na tafsiri yake katika lugha ya kiswahili. Natanguliza shukrani

Nemo dat quod non habet-You cant give what you dont have
Audi alteram partem-Hear the other part
Nemo judex in causa sua-You cant be a judge in your own cause.
alias-known as.
Fragrante delicto-redhanded
Nula poena,sine lege-There is no punishment without law.
De jure.
De facto-
 
pact sunt servanda=promises must be kept.
inter alia=among other things.

ila nakushaur utumie black's law dictionary au hata zile legal dictionary ambazo zilitumwa na Dragoon.
Kuna App moja inaitwa Law Dictionary ina maana ya maneno ya kisheria na misemo ambayo mingi inatokana na kilatini kwenye sheria
 
Habar ya asubuhi wanasheria wa jukwaa hili. Nipo hapa kuomba orodha ya phrases mbali mbali zinazotumika katika sheria. Itakuwa ni vema ukiweka katika lugha ya english na tafsiri yake katika lugha ya kiswahili. Natanguliza shukrani

sent using [emoji85]
USHAURI WANGU COMRADE NI KHERI UNGIE PLAY STORE YA ANDROID UPAKUE APP'S AMBAZO HUWA ZINA NISAIDIA SANA MIMI BINAFSI PIA. KUNA APP INAITWA "THE LAW.COM" & "LAW DICTIONARY OFFLINE". HIZI APP'S ZINAWEZA KUTUMIKA HATA KAMA HAUNA INTERNET BUNDLES AU KUWA ONLINE NA NETWORK YOYOTE.
 
Back
Top Bottom