Naombeni tafsir ya hili neno

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Kuna haka kaneno nimekuwa nikikasikia mara kwa mara kanatumika na watu marika tofauti naweza kuita ni msimu "Hoves" ama "Hovesi" huwa maana yake ni nini? Anaejua anifafanulie tafadhali.

Mfano:
1.Eh bwana jana usiku nilikuwa hoves vibaya mno.
2. Nimeenda kwa Fareed nikakuta yupo hoves.

Huwa inamaanisha nini hili neno?
 
Kuna haka kaneno nimekuwa nikikasikia mara kwa mara kanatumika na watu marika tofauti naweza kuita ni msimu "Hoves" ama "Hovesi" huwa maana yake ni nini? Anaejua anifafanulie tafadhali.

Mfano:
1.Eh bwana jana usiku nilikuwa hoves vibaya mno.
2. Nimeenda kwa Fareed nikakuta yupo hoves.

Huwa inamaanisha nini hili neno?
 
Kuna haka kaneno nimekuwa nikikasikia mara kwa mara kanatumika na watu marika tofauti naweza kuita ni msimu "Hoves" ama "Hovesi" huwa maana yake ni nini? Anaejua anifafanulie tafadhali.

Mfano:
1.Eh bwana jana usiku nilikuwa hoves vibaya mno.
2. Nimeenda kwa Fareed nikakuta yupo hoves.

Huwa inamaanisha nini hili neno?
 
Nauza dawa ya mende viroboto kunguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…