WanaJF, nawasalimu nyote!
Ninaomba anayeijua vizuri tofauti iliyoko kati ya mifuko hiyo miwili anijuze!Ninaomba ninapofafanuliwa hilo nijibiwe maswali haya: UPI ni bora kuliko mwingine?Upi unamfaa mtu mwenye kipato cha cha chini kinachomwezesha kubaki na akiba ndani ya shilingi 30000/- kwa mwezi!
Karibuni wadau!
Ninaomba anayeijua vizuri tofauti iliyoko kati ya mifuko hiyo miwili anijuze!Ninaomba ninapofafanuliwa hilo nijibiwe maswali haya: UPI ni bora kuliko mwingine?Upi unamfaa mtu mwenye kipato cha cha chini kinachomwezesha kubaki na akiba ndani ya shilingi 30000/- kwa mwezi!
Karibuni wadau!