Lengo la plate number ni moja tuu, utambulisho wa hilo gari wakati wa usajili. Kuwepo kwa kibao cha plate number au kutokuwepo kunaweza kutokana na sababu yoyote kati ya hizi.
1. Huyo ni Mh. Fulani hivyo gari yake inatumia cheo chake ama alama ya wadhifa wake kama ngao, CJ, CS, CAG, IGP, State Car or Just Married.
1. Gari haijasajiliwa humu nchini, ilikuwa imekufa kabla ya zoezi la number mpya, sasa imefufuliwa hakuna any documentation na anasubiri kufanya process.
3. Vibao vimeanguka na mmiliki ama kwa uzembe ama kwa kutingwa, hajaandika vibao vipya.
4. Gari maalum ya shughuli maalum katika eneo maalum linaloeleweka na wahusika. Na hapa ndipo pia hutumika namba bandia makusudically.
Nb demokrasia kama una biffu na huyo afande, hauwezi kuimaliza kwa issue ya plate number, ama inakuuma kwa nini ford cortina yake ya mwaka 47, haina usajili?. Kuna issue kubao muhimu zinazowahusu trafic wa A-Town, wewe umeona tuu hii ya plate number?.