Jamani naomba mnijulisheni, niko gizani, hivi ualimu ngazi ya cheti wanachuo watalazimika kusoma kwa miaka 3 kwa wale wale wenye division 4 ya pointi 26, 27 kwa miaka ya nyuma na wa 2013 wenye pointi ,32 na 34?
Jamani naomba mnijulisheni, niko gizani, hivi ualimu ngazi ya cheti wanachuo watalazimika kusoma kwa miaka 3 kwa wale wale wenye division 4 ya pointi 26, 27 kwa miaka ya nyuma na wa 2013 wenye pointi ,32 na 34?