pet geo pet JF-Expert Member Joined Jun 30, 2018 Posts 508 Reaction score 788 Oct 29, 2022 #1 Wakuu jana nimelipia pesa kwaajili ya mechi ya Yanga dhidi ya Geita kwa bahati mbaya nimepata shida, sitoweza kufika uwanjani. Je, pesa yangu itabaki kwenye kadi au ndiyo imepotea hivyo? Mwenye uelewa kuhusu N-Card naomba kujuzwa hili.
Wakuu jana nimelipia pesa kwaajili ya mechi ya Yanga dhidi ya Geita kwa bahati mbaya nimepata shida, sitoweza kufika uwanjani. Je, pesa yangu itabaki kwenye kadi au ndiyo imepotea hivyo? Mwenye uelewa kuhusu N-Card naomba kujuzwa hili.
pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 Oct 29, 2022 #2 pet geo pet said: Wakuu jana nimelipia pesa kwaajili ya mechi ya Yanga dhidi ya Geita kwa bahati mbaya nimepata shida, sitoweza kufika uwanjani. Je, pesa yangu itabaki kwenye kadi au ndiyo imepotea hivyo? Mwenye uelewa kuhusu N-Card naomba kujuzwa hili. Click to expand... Ushawahi kutumia kadi yoyote ya pre paid mfano zile za mwendo kasi na za kulipia pale ferry ww umeweka salio au umenunua ticket?
pet geo pet said: Wakuu jana nimelipia pesa kwaajili ya mechi ya Yanga dhidi ya Geita kwa bahati mbaya nimepata shida, sitoweza kufika uwanjani. Je, pesa yangu itabaki kwenye kadi au ndiyo imepotea hivyo? Mwenye uelewa kuhusu N-Card naomba kujuzwa hili. Click to expand... Ushawahi kutumia kadi yoyote ya pre paid mfano zile za mwendo kasi na za kulipia pale ferry ww umeweka salio au umenunua ticket?
pet geo pet JF-Expert Member Joined Jun 30, 2018 Posts 508 Reaction score 788 Oct 29, 2022 Thread starter #3 Nimelipia ticket ASA sjui hapo kama salio langu limeishatumika hata kama sjaingia au bado limo