Naombeni ufahamu kuhusu huduma za N-Card

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
508
Reaction score
788
Wakuu jana nimelipia pesa kwaajili ya mechi ya Yanga dhidi ya Geita kwa bahati mbaya nimepata shida, sitoweza kufika uwanjani.

Je, pesa yangu itabaki kwenye kadi au ndiyo imepotea hivyo? Mwenye uelewa kuhusu N-Card naomba kujuzwa hili.
 
Wakuu jana nimelipia pesa kwaajili ya mechi ya Yanga dhidi ya Geita kwa bahati mbaya nimepata shida, sitoweza kufika uwanjani.

Je, pesa yangu itabaki kwenye kadi au ndiyo imepotea hivyo? Mwenye uelewa kuhusu N-Card naomba kujuzwa hili.
Ushawahi kutumia kadi yoyote ya pre paid mfano zile za mwendo kasi na za kulipia pale ferry ww umeweka salio au umenunua ticket?
 
Nimelipia ticket ASA sjui hapo kama salio langu limeishatumika hata kama sjaingia au bado limo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…