[emoji23] [emoji23] [emoji23]Chemsha maji ya moto umloweke ufanye kama unataka kupika kuku hakika yataisha usisahau kumbanika[emoji28][emoji28][emoji28]
Ww acha utot kbxa hayo ni maumbile2 dd yang hata usivunje mahusiano yenu kbxa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naww uko hivyo nn..umemshauri kwa hisia ila hujui kushauriWw acha utot kbxa hayo ni maumbile2 dd yang hata usivunje mahusiano yenu kbxa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnyoe kila siku.Ni MWezi sasa tuko ktk mahusiano na huyu kaka ila cha kusikitisha anamanyoya mengi hasa kifuani, miguuni, mikononi, mgongoni hadi kwenye uume, somtymz nakereka kwakweli
Hivi jamani wanaume wote mko hivi?
Weka picha tuone ili tukushauri!
Mbona hueleweki? Huyyo ndio mwanaume bombamimi sina mengi sanaaaaaa
Ni MWezi sasa tuko ktk mahusiano na huyu kaka ila cha kusikitisha anamanyoya mengi hasa kifuani, miguuni, mikononi, mgongoni hadi kwenye uume, somtymz nakereka kwakweli
Hivi jamani wanaume wote mko hivi?
kwani wewe sirini huna??Mmh jmn ndio hadi sirini?
Kumbe upoManyoya kwani yeye kuku?