Naombeni ushauri boyfriend wangu ana manyoya mengi

Ni MWezi sasa tuko ktk mahusiano na huyu kaka ila cha kusikitisha anamanyoya mengi hasa kifuani, miguuni, mikononi, mgongoni hadi kwenye uume, somtymz nakereka kwakweli

Hivi jamani wanaume wote mko hivi?
Shemeji mm naona kila mkienda kuoga mchemishie maji ya mote kama yale ya kunyonyolea manyoya ya kuku bila kusahau viwembe viwili

La kufanya hayo maji moto wewe umwagie ili hayo manyoya manywele yawe malaini kisha mnyowe kwa hizo nyembe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ulikuwa una hadithiwa utotoni kuwa kuna mazimwi basi huyo ni zimwi unae huyo anakusubiri unone akutafune mishikaki
 
Ni MWezi sasa tuko ktk mahusiano na huyu kaka ila cha kusikitisha anamanyoya mengi hasa kifuani, miguuni, mikononi, mgongoni hadi kwenye uume, somtymz nakereka kwakweli

Hivi jamani wanaume wote mko hivi?
Unafikiri atakua kizazi cha nyani?

young kilimanjaro
 
Njoo kwangu uje dhibitisha kama wanaume wote wako hivyo, bureee kabisa wala hulipii
 
Inasemekana watu wa Aina kama ya huyo jamaa yako
Waliumbwa kwa majaribio enzi za adam na hawa.Huyo jamaa pengine yupo toka kipindi hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…