Naombeni Ushauri: Dalili za mtu ambaye ni HIV carrier

Chukua maji ya battery(acid) vuta kwa syringe weka ukeni kwa huyo demu ukiona panachemka ujue virusi vipo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] mkuu sasa hiyo nyeto c ndo mbaya zaidi
hahahaa mkuu sitak stress tenaa yaani nilikaa kwa waswas sana af bahat mbaya ama nzuri huyo manzi nlipigaga kimojaa tyuu huendaa ndo ilisaidiaa nsiukwaee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahahahaha sijawahi ona Binadamu anafikia joto la 102 degrees Centigrade labda kama ulilenga kutania tu, alafu hizo dalili hata mtu mwenye infectious disease kama Malaria, Septicemia nk, Kansa pia wanazo......wewe cha msingi mshauri tu akapime kwishnei
 
Tulikuwa tunatumia kinga ila kinga haziaminiki
Achana nae huyo kwanza kama anatumia condom hana future na ww na ana wanawake wengine , Mwanaume ambae anakuwazia mema mbeleni angekubali kupima na ww ili na ww akiamini ssa Mwanaume karidhika tu na mapenzi ya condom hyo nae unamuhesabu, Hebu acha kujitupa kifoni
 
Ni hivi mtu mwenyewe hataki kupima, na kuna dalili ambazo hazijifichi hizo kila MTU anazijua lkn kuna mwingine ni carrier ndo nataka nijue nitamjuaje huenda ni Carrier japo tunatumia kinga lkn kinga hizi haziaminiki
Hakuna dalili unayoweza sema hii ni ya HIV at that stage na ni HIV carrier maana symptoms zinashabihiana na magonjwa mengine, cha muhimu nenda mkapime tu
 
hahahaa mkuu sitak stress tenaa yaani nilikaa kwa waswas sana af bahat mbaya ama nzuri huyo manzi nlipigaga kimojaa tyuu huendaa ndo ilisaidiaa nsiukwaee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nishafanya maamuzi mkuu
 
Dalili zake ni.... Kma ni mwanaume huwa anahonga sana yy hajali kumpa dem laki moja ya nauli ya tex au Km ni mwanamke yy akitongozwa hakatai yani siku hiyo hiyo unajipigia tu yani daily mtu wa kusuguliwa
 
Hahahah jmn kuumwa kichwa Mara kwa Mara ni dalili ya HIV haaaah msitufanyie ivyo mie kla siku naumwa kichwa na nimepima karibu Mara nne kila baada ya miezi mitatu Mara ya mwisho ni mwezi wa 11mwaka jna na nikawa Niko fresh,aya sasa wewe unaesema kuumwa na kichwa ni dalili inakuwaje munatuchosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu mtoa mada pengine umejijibu swali lako la msingi pasipo kujua. Kwa uelewa wangu mdogo, carrier wa ugonjwa ni mtu mwenye vijidudu vya ugonjwa lkn haonyeshi dalili yoyote ya ugonjwa (kwa hiyo huwezi kumfahamu isipokuwa kwa vipimo). Kwa ugonjwa wa ukimwi neno carrier kulitumia kwa mtazamo wangu si sahihi sana, kwa sababu kutoonyesha dalili ni moja ya stage za ugonjwa wenyewe. La msingi ni kutojiweka kwenye mahusiano hatarishi.
 
Dalili zake ni.... Kma ni mwanaume huwa anahonga sana yy hajali kumpa dem laki moja ya nauli ya tex au Km ni mwanamke yy akitongozwa hakatai yani siku hiyo hiyo unajipigia tu yani daily mtu wa kusuguliwa
Hahaha[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13]
Iyo Kali sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…