Naombeni ushauri: Je, ninunue kiwanja kilichopimwa na kisichopimwa?

Naombeni ushauri: Je, ninunue kiwanja kilichopimwa na kisichopimwa?

Dullah07

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2017
Posts
220
Reaction score
475
Habari wadau,

Binafsi nimeamua mwaka huu nami nimiliki eneo maana naona umri unazidi kuyoyoma sitaki kuja kuwa historia huko mbeleni.

Mada ya huu uzi ni hivi nimeenda kuangalia kiwanja tuanze na kisichipomwa ni kuwa kinauzwa millioni 3 lakini mwenyewe anapokea hata 2M na nyingine kidogo kidogo na kina kama 400 hadi 500 SQM maana sijabeba kwa vipimo vya kienyeji ila kina changamoto ya barabara kwani muuzaji anauza nyuma na yeye yupo mbele sasa hakuna road ya kunifikisha hadi kwangu ingawa nyumba za jirani washapimiwa tayari na hiki kingine ni kutoka haya makampuni ya real estate kina 680 SQM na thamani yake ni thamani ya 8m ambayo unaanza na 25% iliyobaki kidogo kidogo hadi mwaka 1 na kishapimwa tayari.

Sasa naombeni ushauri je, nijilipue hiki unsurveyed ili nipunguze gharama au nichukue surveyed ingawa cost yake ipo juu. Maeneo yapo wilaya ya Bagamoyo na Kibaha na pia naombeni faida na hasara ya meneo yote mawili.

Nawasilisha
 
Chakuzingatia ni sifa zakiwanja unataka kuna umbali ukubwa wakiwanja na gharama ya manunuzi napengine gharama za kufikisha vifaa saiti kiwanja kilichopimwa nakisichopimwa vinasifa tofauti ila nafikiri hicho ambacho hakina barabara hakikufai mkuu madhara nimakubwa jalibu kutafuta pengine
 
Upo tayari kulipia kodi ya ardhi /kiwanja kilichopimwa mpaka uzeewako?
 
Nunua kilichopimwa kama mahali kilipo umepapenda.

Epuka kununua kiwanja sehemu ambayo hakuna njia......ipo siku utafurahi na roho yako utakapogundua huna jinsi ya kufika kwenye eneo lako.
 
Kama huna mpango wa kujenga hivi karibuni ni bora ukanunua ambacho kakijapimwa maana unaweza ukamiliki kiwanja ukashindwa kukilipia kodi na mwisho wa siku ukanyanganya.

Ardhi na mali ya Rais wa JYMT
 
Habari wadau,

Binafsi nimeamua mwaka huu nami nimiliki eneo maana naona umri unazidi kuyoyoma sitaki kuja kuwa historia huko mbeleni.

Mada ya huu uzi ni hivi nimeenda kuangalia kiwanja tuanze na kisichipomwa ni kuwa kinauzwa millioni 3 lakini mwenyewe anapokea hata 2M na nyingine kidogo kidogo na kina kama 400 hadi 500 SQM maana sijabeba kwa vipimo vya kienyeji ila kina changamoto ya barabara kwani muuzaji anauza nyuma na yeye yupo mbele sasa hakuna road ya kunifikisha hadi kwangu ingawa nyumba za jirani washapimiwa tayari na hiki kingine ni kutoka haya makampuni ya real estate kina 680 SQM na thamani yake ni thamani ya 8m ambayo unaanza na 25% iliyobaki kidogo kidogo hadi mwaka 1 na kishapimwa tayari.

Sasa naombeni ushauri je, nijilipue hiki unsurveyed ili nipunguze gharama au nichukue surveyed ingawa cost yake ipo juu. Maeneo yapo wilaya ya Bagamoyo na Kibaha na pia naombeni faida na hasara ya meneo yote mawili.

Nawasilisha
Njoo Dodoma pagale lipo limepimwa 0712785395
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8000
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13000
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Back
Top Bottom