Ndugu wana JF,
Mimi ni mwanafunzi wa chuo hivi sasa nimemaliza field yangu, nina muda wa mwezi mmoja mkononi nafikiri kuanzisha biashara ya kuuza sabuni za maji katika mashule na sehemu mbalimbali.
Naomba ushauri katika hiki, ni jinsi gani naweza fanya biashara hii kuwa yenye faida.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo hivi sasa nimemaliza field yangu, nina muda wa mwezi mmoja mkononi nafikiri kuanzisha biashara ya kuuza sabuni za maji katika mashule na sehemu mbalimbali.
Naomba ushauri katika hiki, ni jinsi gani naweza fanya biashara hii kuwa yenye faida.