Naombeni ushauri juu ya suala hili la mafao yangu

Naombeni ushauri juu ya suala hili la mafao yangu

Bob Dere

Member
Joined
Jul 12, 2021
Posts
15
Reaction score
89
Ni miezi saba sasa tangu nilivowasilisha, fomu ya kudai mafao ya ukosefu wa ajira pale PSSSF. Ila Cha ajabu hadi Sasa Bado hawajinilipa pesa zangu. nipo stressed sana.

Nilitegemea hizo hela niweze fanya biashara, lakjni hadi Leo bila bila, nimekua mtu tegemezi, sina hata mia mfukoni, mpaka nimeanza kua kero kwa watu. Dah, yani sina amani hata kidogo.

Naombeni mnishauri kama mtu hajalipwa mafao yake kwa wakati, ni hatua gani anaweza chukua ili alipwe na wahusika?
 
Ni miezi saba sasa tangu nilivowasilisha, fomu ya kudai mafao ya ukosefu wa ajira pale PSSSF. Ila Cha ajabu hadi Sasa Bado hawajinilipa pesa zangu.

Nipo stressed sana. Nilitegemea hizo hela niweze fanya biashara, lakjni hadi Leo bila bila, nimekua mtu tegemezi, sina hata mia mfukoni, mpaka nimeanza kua kero kwa watu. Dah, yani sina amani hata kidogo.

Naombeni mnishauri kama mtu hajalipwa mafao yake kwa wakati, ni hatua gani anaweza chukua ili alipwe na wahusika?
 
Hivi hawa viumbe walioshindikana hawapogo humu waje kujibu malalamiko ya wateja wao..mbona wamekua kero Sasa..!!..
Wanakuja wenye uzoefu na suala lako..
Kila la kheri .
 
Ni miezi saba sasa tangu nilivowasilisha, fomu ya kudai mafao ya ukosefu wa ajira pale PSSSF. Ila Cha ajabu hadi Sasa Bado hawajinilipa pesa zangu. nipo stressed sana. Nilitegemea hizo hela niweze fanya biashara...
Uko mkoa gani?

Au fanya hivi nenda ofisi ya Mkuu wa wilaya ama mkoa kutoa lalamiko lako kwamba unechelewa
 
Back
Top Bottom