Victor Junior
Member
- May 26, 2012
- 64
- 8
faham sifa za kujiunga katka hivyo vyuo unavyo taka kwa Nursing certificate pass kuanzia D, ukijumuisha Bios, Chem na Phys.
Nina mdogo wangu anemaliza kidato cha nne 2013 na matokeo amepata Div III ya 29
Civ-D, Hist-D, Geog-D , chem-D , Bios-D , Math-C, Kisw-B+, Eng-B & Phy-E
Chaguo ni kwenda chuo cha serikali either cha Nursing au Kilimo naombeni msaada chuo kipi cha serikali angeweza kwenda kwa course hizo hapo mbili..
diplma mfano hapa muhas ni avarage C grade n above,bt kuna competition xana,waweza kuapply maana tayar wameanza ku2ma maomb ya kujiunga
aombe tu kilimo kwasababu huo unesi siku hizi wanataka pass ya physics
asante mkuu lakini kwahiyo kwa matokeo hayo nawez kupata nafasi..?na ni process zipi za kufuata?