GREAT INVESTOR
Senior Member
- Nov 13, 2018
- 128
- 297
Wadau, Wana Jf Kheri ya Christmas kwenu.
Wadau, pichani chini ni nyumba yangu niliyoanza kuijenga mwezi wa Sita inaenda kwa kusuasua ila namshukuru Mungu.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri wenu, Nyumba yangu ina ukubwa japo si sana ila kwa uwezo wangu nasema ni kubwa, ina room 3 za kulala moja master, ina Choo cha public,jiko,sebule na store.
Uchumi si mzuri sana ndiyo sababu ya kuomba ushauri wenu.
Nimeshaifanyia plumbing, kuweka bomba kwa ajili ya waya za umeme na box kwa ajili ya socket na switches, pia nimeshaipiga draft kwa ajili ya gypsum,nimeweka grill pia.
Juzi nmeanza kuipiga plasta na sasa mafundi wanaendela.
Ila kwa sasa uchumi si mzuri sana,kwa maana ya kwamba nikiangalia mfukoni nina pesa si nyingi...ambayo inaweza kunisaidia kufanya moja Kati ya haya hapa chini.
1.Nifunge gypsum
2.Niweke alminium
3.Niweke tails.
Nimeipiga plasta japo sijaweka frem za milango ya mbao.
Kwa mwenye ushauri mzuri nifanye nini Kati ya ivyo apo juu kwa sasa, naomba unisaidie.
Pia naomba kuuliza je nimekosea kupiga plasta bila kuweka frame za milango?
Natanguliza shukrani.
Wadau, pichani chini ni nyumba yangu niliyoanza kuijenga mwezi wa Sita inaenda kwa kusuasua ila namshukuru Mungu.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri wenu, Nyumba yangu ina ukubwa japo si sana ila kwa uwezo wangu nasema ni kubwa, ina room 3 za kulala moja master, ina Choo cha public,jiko,sebule na store.
Uchumi si mzuri sana ndiyo sababu ya kuomba ushauri wenu.
Nimeshaifanyia plumbing, kuweka bomba kwa ajili ya waya za umeme na box kwa ajili ya socket na switches, pia nimeshaipiga draft kwa ajili ya gypsum,nimeweka grill pia.
Juzi nmeanza kuipiga plasta na sasa mafundi wanaendela.
Ila kwa sasa uchumi si mzuri sana,kwa maana ya kwamba nikiangalia mfukoni nina pesa si nyingi...ambayo inaweza kunisaidia kufanya moja Kati ya haya hapa chini.
1.Nifunge gypsum
2.Niweke alminium
3.Niweke tails.
Nimeipiga plasta japo sijaweka frem za milango ya mbao.
Kwa mwenye ushauri mzuri nifanye nini Kati ya ivyo apo juu kwa sasa, naomba unisaidie.
Pia naomba kuuliza je nimekosea kupiga plasta bila kuweka frame za milango?
Natanguliza shukrani.