emmanicotz
New Member
- Sep 23, 2024
- 2
- 2
Ndugu zangu naomba kujua kwa wale wanaona fanya biashara ya stationary, naipenda sana lakini watu wengi wanasema hailipi ni biashara ya msimu tu.
Je nitawezaje kufaidika na hiyo biashara maana ndio nitakayoitegemea kwa ajili kuendesha ya familia na mambo mengine.
Naombeni ushauri maana nina milioni 4 kama mtaji.
Soma: Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji
Je nitawezaje kufaidika na hiyo biashara maana ndio nitakayoitegemea kwa ajili kuendesha ya familia na mambo mengine.
Naombeni ushauri maana nina milioni 4 kama mtaji.
Soma: Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji