Tatemahunda
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 232
- 91
habari wana jf!!!!. mimi ni kijana wakitanzania niliyehitimu mafunzo ya kilimo ngazi ya cheti (general agriculture) na sasa nataka nisome diploma ya mifugo ila sijui ni vigezo gani nifuate ili kupata chuo..pia cjajua ni chuo gani kitanipatia diploma yenye tija ktk vyuo vya mifugo...pia Naombeni kujuzwa muda nitakaotumia hadi kuhitimu..na gharama zitakazohitajika hadi kuhitimu...nawasilisha