Kama kweli ni kazi anayoipenda muache akasome tu...ukweli wa mambo ni kwamba mining industry, worldwide ina uhaba mkubwa sana wa qualified/skillled worked force. Na kwa bara letu la Africa, mining is set to grow further as a result of minerals demand, in particularly Tanzania. Kama issue ni kazi tu sioni kama hilo ni wazo zuri...kwa mtazamo wangu, pengine umsaidie toka mapema kuweza kufanya link ya kitu anachotaka kusomea na namna ya kufanya biashara yeye mwenyewe katika eneo hilo. Tujiulize, ni kwanini mining contractors karibu wote wanatoka nje ya Tanzania?? Can't we do it?
Mkuu hiyo Mining aiache kabisa sahv ajira zake zinasumbua sana maana watu mtaani ni wengi kulinganisha na migodi iliyopo na mara nyingi kazi ni migodini tu,
nakushauri kama anataka engineering achukue Mechanical,electrical, civil au chemical hizi kujiajiri ni rahisi pia ajira ni nyingi
du! Mi ndo kwanza naingia mwaka wa pili sijui itakuwaje mbeleni
Mwache asome hiyo hiyo mining engineer. Ni pana kuliko unavyoichukulia wewe. Inainclude peer construction industry. Anaweza kuja kuanzisha mgodi hata wa kuchimba madini ya viwandani kama kokoto za granite. Hivi unajua sasa hivi kiwanda cha Dangote Mtwara wanatoa kokoto hapo junction ya kwenda Tanga? Mwache asome anachopenda na atakuwa mbunifu huko.