Naombeni ushauri kuhusu kozi za kusoma Chuo Kikuu

solvent

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
644
Reaction score
339
Nimemaliza form six mwaka huu natarajia kuingia elimu ya juu. Napenda sana kuwa mwanauchumi, katika tafiti zangu nimekutana na degree hizi.

1. BA In economics UDSM
2. BSc. Agricultural Economics and Agribusiness - SUA
3. BA in Economics - Project Management - Mzumbe

Naomben ushauri ni degree ipi nzuri kati ya hizi 3.
 
ww kweli boya..
hujui usome nn..

soma chochote kinalipa. Maisha ni bahati na kujituma kwa bidii
 
ww kweli boya..
hujui usome nn..

soma chochote kinalipa. Maisha ni bahati na kujituma kwa bidii
boya ni wewe hapo unaejitia kimbelembele,yeye ameuliza kama huna jibu kaa kimya sio kumkejeli,kwani amekuomba umsaidie ada,kuuliza sio ujinga
 
Ni vyema kama ungeweka kiwango chako cha ufaulu pamoja na maelezo yako binafsi kama people who inspire you in life, kwanini unataka usome uchumi n. K, atlst kwa maelezo hayo itakuwa ni rahisi kukushauri
 
Hili ndio tatizo linalowasumbua form six wengi. Matokeo hayajatoka kashatanguliza mguu mmoja mbele. Mwisho wa siku matokeo yakitoka kaangukia pua utamsikia ooh hivi kwa ufaulu wa E,E,E naweza kupata course za hata education?. Acha papara usitangaze nia wakati huna uhakika wa kupata nafasi ya kupitishwa. Subiri results mwez wa 7 katikat.
 

Hahahahhahaha kweliii nduguu ujakoseaa hahahahhahah daa etiiii EEE
 
Ndo maana nchi yetu kuendelea ngumu watu walisoma bila malengo
 
Hahahahhahaha kweliii nduguu ujakoseaa hahahahhahah daa etiiii EEE

Aiseee kazi kwel kweli mwambieni akachague st joseph ya Arusha akifelii hahahahahahaha aisee wew n sumu umewajambisha vijana wa st joseph nahic had usiku wanakuota aisee kila sehm SEROTHERAPY
 
Inategemea na wewe unapebdelea nini hasa, ila kwa mimi naona kama una ufaulu mzuri basi agribusiness ingekufaa sana. katika agribusiness utasoma mambo mambo yote ambayo mtu wa BA economics anasoma na pia iko wide sana (mpaka kwenye kilimo)!! na ujue inatolewa SUA tu kwa hapa tanzania!! kila la heri..
 

thanks 4 advice broo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…