Naombeni ushauri kuhusu mradi wa kufuga kuku wa kienyeji

Naombeni ushauri kuhusu mradi wa kufuga kuku wa kienyeji

kichakaa man

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
5,500
Reaction score
5,164
Nahitaji kuanzisha mradi wa kufuga kuku wa kienyeji nataka nianze na vifaranga 1000 . sasa wataalamu naombeni mnisadie mambo ya yafuatayo
Gharama zake kuweza kufuga hao kuku.mabanda na chakula
Mbinu za kufanya wakue fasta
Je kipi kinaweza kunipa faida zaid kwa kuuza kuku wote au niuze mayai tu
Asanteni sana
 
Kuhusu idadi, itategemea ukubwa wa eneo lako, ukubwa wa mtaji wako na utayari wa banda.
Mimi binafsi nina style tofauti ya kuanza mradi kama huo.
Lengo langu nifikishe kuku 2000, lakini nilianza na kuku 50, na kila mwezi ninaongeza vifaranga 100, kwa hiyo baada ya miezi 6 nitakuwa na kuku 650, Malengo, wakishaanza kutaga, mayai 300 ya kwanza natotolesha kwa incubator round ya kwanza, wakitotolewa naweka round ya pili tena mayai 300, na kuendelea. Hapo mradi utakuwa unajiendesha wenyewe mpaka wafikie idadi unayotaka
 
Kuhusu idadi, itategemea ukubwa wa eneo lako, ukubwa wa mtaji wako na utayari wa banda.
Mimi binafsi nina style tofauti ya kuanza mradi kama huo.
Lengo langu nifikishe kuku 2000, lakini nilianza na kuku 50, na kila mwezi ninaongeza vifaranga 100, kwa hiyo baada ya miezi 6 nitakuwa na kuku 650, Malengo, wakishaanza kutaga, mayai 300 ya kwanza natotolesha kwa incubator round ya kwanza, wakitotolewa naweka round ya pili tena mayai 300, na kuendelea. Hapo mradi utakuwa unajiendesha wenyewe mpaka wafikie idadi unayotaka


Asante!
 
Back
Top Bottom