Naombeni ushauri kwa waliotumia mbolea ya maji ya super gro

Naombeni ushauri kwa waliotumia mbolea ya maji ya super gro

Jifunafu

Senior Member
Joined
May 25, 2020
Posts
182
Reaction score
693
Ndu Wana jamvi, Mimi ni mkulima na msimu wa kilimo ndo huu umewadia.

Mwaka huu naitaji kubadili muelekeo Nina achana na kilimo Cha mahindi nataka kuelekeza nguvu Katika kilimo Cha mpunga

Katika maandalizi yangu ya pembejeo

nimekutana na wakulima wenzangu wakinishauri kutumia hii mbolea ya maji ya super gro kutoka kampuni ya Neolife GLD.

Kwangu Mimi sijawai kutumia mbolea hii, nimekuta nabaki njia panda nikaona ni vema nije kuuliza hapa kama Kuna watu waliowai kutumia mbolea hii walete mlejesho kabla sijaenda kuinunua.

Pia kama uliwai kuitumia inafanya vizuri katka zao la mpunga? Maana Kuna wakala wa hii kampuni anatembelea huku na kushawishi wakulima sana.

Nawasilisha.
 
Mi naona zinafaa kwa bustani za mbogamboga na viungo Kama nyanya na vitunguu.
Ni kama Bustar zinazo ingia haraka kwenye mmea.

Kwa mazao magumu Kama Mahindi sijawahi kuona zikileta tija.

Unaweza ukainuua kidogo kwa kuifanyia majaribio
 
Mi naona zinafaa kwa bustani za mbogamboga na viungo Kama nyanya na vitunguu.
Ni kama Bustar zinazo ingia haraka kwenye mmea.

Kwa mazao magumu Kama Mahindi sijawahi kuona zikileta tija.

Unaweza ukainuua kidogo kwa kuifanyia majaribio
Asante mkuu Kwa ushauri wako
 
Back
Top Bottom