Naombeni ushauri Kwa wanaofahamu vizuri Dodoma katika Biashara ya nafaka

Naombeni ushauri Kwa wanaofahamu vizuri Dodoma katika Biashara ya nafaka

Xinho De Roi

New Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
1
Reaction score
4
Habari ndugu zangu wa JF

Nilikuwa naomba msaada wenu wa ushauri Kwa wanao kufahamu vizuri Dodoma na wanaofanya biashara mbali mbali Dodoma.

Kwa Sasa nipo Morogoro lakini nataka nifanye biashara ya nafaka(mchele, mahindi, maharage, kunde ngano n.k) Dodoma na msaada wa location pia Kwa mkoa wa Dodoma .

Naombeni sana msaada wenu ndugu zangu

Mwenyezi Mungu awajalie sana
 
Habari ndugu zangu wa JF

Nilikuwa naomba msaada wenu wa ushauri Kwa wanao kufahamu vizuri Dodoma na wanaofanya biashara mbali mbali Dodoma.

Kwa Sasa nipo Morogoro lakini nataka nifanye biashara ya nafaka(mchele, mahindi, maharage, kunde ngano n.k) Dodoma na msaada wa location pia Kwa mkoa wa Dodoma .

Naombeni sana msaada wenu ndugu zangu

Mwenyezi Mungu awajalie sana
Kwa Sasa Mahindi kwa wakulima wengi hakuna,mchele unaenda Bahi, Maharage kondoa na Mpwapwa,karibu!
 
Habari ndugu zangu wa JF

Nilikuwa naomba msaada wenu wa ushauri Kwa wanao kufahamu vizuri Dodoma na wanaofanya biashara mbali mbali Dodoma.

Kwa Sasa nipo Morogoro lakini nataka nifanye biashara ya nafaka(mchele, mahindi, maharage, kunde ngano n.k) Dodoma na msaada wa location pia Kwa mkoa wa Dodoma .

Naombeni sana msaada wenu ndugu zangu

Mwenyezi Mungu awajalie sana
Kama una mtaji na mzigo upo Leta Kilimanjaro nikutafutie soko
 
Habari ndugu zangu wa JF

Nilikuwa naomba msaada wenu wa ushauri Kwa wanao kufahamu vizuri Dodoma na wanaofanya biashara mbali mbali Dodoma.

Kwa Sasa nipo Morogoro lakini nataka nifanye biashara ya nafaka(mchele, mahindi, maharage, kunde ngano n.k) Dodoma na msaada wa location pia Kwa mkoa wa Dodoma .

Naombeni sana msaada wenu ndugu zangu

Mwenyezi Mungu awajalie sana
Jamani wachina Xinho De Roi mpaka kwenye uchuuzi wa nafaka mpo?? Khaa mtatuuua sasa😃
 
SONDRICH LIMITED

Tunakusaidia kukusanya nafanya NAFAKA mikoa yote ya wakulima wa nafaka ndani ya Tanzania .

Tuna mawakala kila sehemu na kila mkoa Ndani ya Tanzania .

Tunakusaidia piaa kusafirisha nafaka nje ya nchi kama kampuni (kwa ambao wanataka kufanya hii biashara na wanahitaji kampuni ya kufanya nayo kazi basi kampuni yenyewe ni sisi SONDRICH LIMITED )

Tunapatikana Dar Es Salaam na tunafanya kazi mikoa yote Tanzania .

Kwa mawasiliano zaidi tupigie simu nambari 0677922984

Au fika ofisini kwetu moja kwa moja mtaa wa chole Masaki , Jengo la Amverton Tower .
Karibuni sana .
 
Back
Top Bottom