Naombeni ushauri, mauzo yanapungua kwenye duka langu

Naombeni ushauri, mauzo yanapungua kwenye duka langu

MusuKuma

Member
Joined
Jan 30, 2021
Posts
33
Reaction score
87
Jamani kwema leo nikuja kitofauti kabisa.

Mimi ninapenda kufanya biashara, sijaajiriwa ila nimejiajri kupitia taaluma yangu(...) Lakini pia nina biashara ndogo ya duka lengo nikubusti maisha.

Sasa imekuwa mwanzoni nikifungua biashara mpya huwa inalipa sana yaani utauza juu kweli lakini baada ya miezi miwili to biashara inakuwa mbaya, yaani licha ya kuwa mfanyabiashara ukweli situmiagi madawa nategemea Mungu tu.

Kuna wakati natamani hata kurogo ila nikikimbuka Mungu kakaa namimi tangu nikiwa sina kitu mpaka leo basi naendelea kumtumainia.

Hebu naomba mnisaidie jamani.

1619425249363.png
 
Jmn kwema leo nimekuja kitofauti kbs.

Mimi ninapenda kufanya biashara,sijaajiliwa Ila nimejiajr kupitia taaluma yangu (...)

Lkn pia nina biashara ndogo ya duka lengo nikubusiti maisha.
Sasa imekuwa mwanzoni nikifungua biashara mpya huwa inalipa Sana yaani utauza juu kweli lkn baada ya miezi miwili to biashara inakuwa mbaya, yaani licha ya kuwa mfanyabiashara ukweli situmiaga madawa nategemea Mungu tu Kuna wakati nataman hata kurogo Ila nikikimbuka MUNGU kakaa namimi tangu nikiwa Sina kitu mpaka leo Basi naendelea kumtumainia.

Hebu naomba mnisaidie jmn..
Biashara zinachangamoto sana boss, Na pia yategemea mambo haya. Hapo dukani umeajiri mtu au unasimamia mwenyewe?

.Uko Location yenye traffic kubwa ya watu. Kauli nzuri kwa wateja
.Consistency. Duka linafunguliwa muda ule ule kila siku? bidhaa zote zinapatikana kama zikiisha zinaenda kuhemelewa.kwa wakati zinaletwa dukani?

.Kingine hakikisha kama Kuroga unaroga kwelikweli,kama kuoga dawa oga kwelikweli. Kama ni mungu fanya maombi kweli kweli ita hata wale mapadrii wapaombee hapo.

Biashara zinachangamoto saana, Usione watu wanafanikiwa kwenye biashara ukadhani wana Product nzuri au service bora, na vi miziziology vinafanya kazi.
GoodLuck !
 
Jmn kwema leo nimekuja kitofauti kbs.

Mimi ninapenda kufanya biashara,sijaajiliwa Ila nimejiajr kupitia taaluma yangu (...)

Lkn pia nina biashara ndogo ya duka lengo nikubusiti maisha.
Sasa imekuwa mwanzoni nikifungua biashara mpya huwa inalipa Sana yaani utauza juu kweli lkn baada ya miezi miwili to biashara inakuwa mbaya, yaani licha ya kuwa mfanyabiashara ukweli situmiaga madawa nategemea Mungu tu Kuna wakati nataman hata kurogo Ila nikikimbuka MUNGU kakaa namimi tangu nikiwa Sina kitu mpaka leo Basi naendelea kumtumainia.

Hebu naomba mnisaidie jmn..
Utakuwa una huduma mbovu sana kwa wateja.

I mean lugha mbovu au huwajali wateja, huongei nao kwa lugha ya ukarimu na huwachangamkii.
 
Labda nikupe muongozo kwa kukuuliza swali kwanza. Umeshagundua kwanini ndani ya miezi 2 ya kwanza biashara ilikua poa? Sabab ukipata sababu ya hapa kwa 90% utakua umejua kwanini now mauzo yameshuka.!
 
Utakuwa una huduma mbovu sana kwa wateja.

I mean lugha mbovu au huwajali wateja, huongei nao kwa lugha ya ukarimu na huwachangamkii.

Juu ya ushauri wa hapo juu ni lazima ujue vitu gani vinauzika kwa baraka na vitu gani vinachukua muda mrefu. Hakikisha vile vinavyotoka sana havikosekani dukani ila vile visivyotoka huviweki dukani!!! Mapato yanatokana na bidhaa zinazouzika!!!
 
Sababu ya mauzo ya Biashara yako kushuka unaijua we kaa chini tafakari utagundua unakosea wap na ufanyeje
 
Nina dawa kabambe ya biashara, yaani ni tuandishi tudogo twa kiarabu,lakini mmh sijawahi ona....!
#sema sithubutu kumpa mtu, #kodam wa haya maandishi hawataki masihara kabisa,kweli dunia ina mambo someni vitabu sana maarifa mengi yapo humo.
Sitoi maarifa ili kila mtu apende kujisomea vitabu.
 
Nina dawa kabambe ya biashara, yaani ni tuandishi tudogo twa kiarabu,lakini mmh sijawahi ona....!
#sema sithubutu kumpa mtu,
#kodam wa haya maandishi hawataki masihara kabisa,kweli dunia ina mambo someni vitabu sana maarifa mengi yapo humo.
Sitoi maarifa ili kila mtu apende kujisomea vitabu.
Tupe bana wengine hatujui kusoma kiharabu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nipo hapa sio Kwasababu nipate ushauri wa mizimu Ila nasubiri labda nitajifunza kitu tofauti na kuroga 😂
 
Nina dawa kabambe ya biashara, yaani ni tuandishi tudogo twa kiarabu,lakini mmh sijawahi ona....!
#sema sithubutu kumpa mtu, #kodam wa haya maandishi hawataki masihara kabisa,kweli dunia ina mambo someni vitabu sana maarifa mengi yapo humo.
Sitoi maarifa ili kila mtu apende kujisomea vitabu.
Taja jina la kitabu kimoja tusome mkuu
 
Nenda kwa Mwamposa Hadi wapemba wanaenda..alafu utarudisha mrejesho hapa..Tanzania kuna uchawi Sana..
 
Back
Top Bottom